Rais Kikwete kweli ni Jembe


kwa mtazamo wako rushwa inazungumzwa na chadema tu.kwa hiyo kiongozi mkuu kuhusishwa na rushwa kwa ccm rukhsa,
kumbuka jk alikejeli chadema kuweka hadharani list of shame,lakini mwishowe akaweka kamati ya kuwasafisha kagoda.
vipi richmond na dowans?
hapo dhamira ya kupambana rushwa iko wapi?
kuwa mzalendo ipende nchi yako hakuna rafiki wala adui wa kudumu ktk siasa ndiyo maana nchi kama ufaransa Miterand hakuweza kurudi madarakani kwa muhula mwingine kwa sababu hakukidhi haja.
hapa miaka hamsini na ukweli mnauona lakini kwa sababu ya matumbo yenu mnataka kuleta upotoshaji eti si rahisi kama chadema wanavyosema tuelezee ccm mnapambanayo vipi?
Kwa kulalamika jukwaani?"..zamani rushwa ilikuwa na wanaume lakini sasa hata nyinyi wanawake.."
ana takukuru,tume ya maadili ya uongozi etc etc.polisi anawatumia kupiga chadema si kukamata wala kupeleka mahakamani.
kwa style hii i prefer chadema.bakini na upambe wenu wa ccm
 
Hapo umechinja kabisa!!!!!. Watu hawataki kukubali ukweli J.K atachukua Mo. Ibrahim na chadomo watabaki kusema aaa eee. Sijawahi ona rais makini ktk kushughulikia issues za taifa kama J.K. Viva rais kichwa Mungu yu pamoja nawe hakika.
Kibaraka usie na haya wewe! Mungu yupi unae mzungumzia?tutolee kamasi hapa nguruwe mkubwa wee.
 

JK, mutu ya msoga,
 
Ndugu mtoa mada umeeleza utumbo wa ajabu, hebu kachambe ulale. Naona una Mavi
 
Mke wa Rais na mwanae ni wanachama hai wa CCM wamegombea nafasi wamepata cha ajabu kipi?
 
Hii forum imekuwa kama China sasa. Serekali ya China imeajiri watu kabisa kufanya kazi kwenye mitandao ya kijamii ku neutralize discussion. Raisi naye sijui ameajiri watu sasa ku neutralize discussion. Maana naona hakuna hata moja la sifa hapo. Tanzania na rasilimali zilizoko lakini watu wanaishi ufukara wa kutupwa wakati nguvu za wanyonge zinaibiwa kila leo na raisi anachekelea na kutabasamu kwa mafisadi na kuwapongeza kwa kuibia wanyonge leo unampa sifa hata asizostahili. Kweli utumwa ni mbaya, hata wana wa Israel walikataa kutolewa Misri kwa sababu walikuwa wameshazoea utumwa
 

Kwa nini unafikiri kuwa rais ameajiri watu wa ku neutralize discussion humu? Au kazi ya mitandao ya kijamii hususani huu ni kukandia tu wether it is true or not? Au unataka kutuambia mtandao huu ni kwa ajili ya kumkandia rais tu, vinginevyo you don't belong, bado mtasema mengi humu, kwenye ukweli uwongo hujitenga.
 
Kweli ni jembe limezulula karibu linaumaliza ulimwengu huu kwa safari za anga
 
Kweli ni jembe kwa kutalii hakuna anaemlita jembe letu...
 
JK jembe la uhakika kwa kutengeneza demokrasia ya kwake kwenye uchaguzi wa CCM yaani kumwona kwa macho yake kuwa fulani kanipigia kura ya hapana na fulani kanipigia kura ya ndio.Na ujembe huo kawaahidi wanaCCM kuwa wawili(2) waliomkataa wamwaachie atawashugulikia.
 
Kha!..
Mtoa hoja mwenyewe jina lake,mjinga sasa atatoa hoja ya maana?..
Mkuu watu kama nyie nikuwaacha tu na ujinga wenu!..
Eti jk jembe?..yaani cwezi hata kumlinganisha na uwezo aliokua nao kiranja wangu wa chekechea!..
 

SINTO FAHAMU, ukweli ni kuwa hakuna ufisadi Tanzania na Uwongo ni kuwa Raisi Kikwete ni kiongozi mzuri kwa kuwa anatuia akili na muda mwingi kwenye siasa kuliko utendaji. Hiyo ni kutokana na comment yako.

Kulingana ninavyoangalia mambo mimi na uzoefu wangu katika mambo yanayoendelea nchi nyingi, tukipata viongozi kama JK miaka mingine kumi ijayo, Tanzana itakuwa masikini kuliko zote ulimwenguni. Tutasikia tu wenzetu Rwanda wakipaa kuelekea kwenye dunia ya kwanza wakati hata rasilimali hawana. In fact Rwanda is over populated, hata eneo la kulima hawana. Sisi tutakuwa tunaendelea kung'ang'ana na kupigana vijembe kwenye majukwaa badala ya kujibu hoja kiutendaji. Vyama vya siasa vinatakiwa viwe watch dogs, hoja inayotolewa na vyama vya siasa ni kwa ajili ya kurekebisha mambo serekalini sio chama kilichoko madarakani kujibu hoja kwa vijembe kwenye majukwaa.

Kumbuka maneno ya unayemsifu, HOJA ZENU NI ZA MSINGI, LAKINI NIKIZIKUBALI WENZANGU KATIKA CHAMA WATANIELEWA KWELI?
 

Hana ujembe wowote. Bahati yake anaongoza taifa la watu vipofu, viziwi na wafu!
 

Subiri, nitafungua THREAD kuhusu maswala ya RUSHWA na UFISADI, vinginevyo kama tukijikita kwenye hili tutatoka nje ya mada.

Kifupi, hayo uliyoyataja ni asilimia 10 tu ya ufumbuzi wa kutokomeza rushwa. Kuna maswala kama ya kipato, maadili, elimu, kuwepo kwa kinachohitajika kutosheleza wahusika, Transparency, ukilitimba(bureacracy) na kadhalika.

Tuombe Mungu, nitarudi na hii mada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…