Rais Kikwete, i swear hakunaga!

Rais Kikwete, i swear hakunaga!

if u have no data or research u have no right to speak
1.hata marekani a big power inadaiwa mabilioni na China how can u grow ur economy without borrowing? that is nonsense question
2 huwez kumpeleka mahakamani MTU km huna ushahidi mahakama sio kibaraza cha kahawa. mfano magufuli alikamata meli ya samaki ikataifishwa unajua hasara serikali iloingia kulipa billion. ur so ignorant.
3. ur so foolish. amepeleka jeshi Comoro na kuikomboa kutoka kwa waasi, alisaidia muafaka Kenya, ametuma vikosi vipo Congo io ni kwa ufupibado issue za mazingira yan ur so idiot
4 anangalia km ngapi za barabara na madaraja zimejengwa, angalia mradi wagesi, anagalia maboresho chuo kikuu cha tiba,angalia usambazaji umeme vijijini etc
5 am so tired to engage with a man like u!

Yaani watu wanaiba na unajua kabisa wanaiba then wewe kama mkuu wa serikali yenye kila aina ya vyombo vya uchunguzi na nguvu unakosa ushahidi?? Are you serious?? Then unawatetea na kuwaacha waendelee tu na kazi kama vile hakuna lililotokea! Kibaya zaidi wanaovumbua wizi mkubwa mkubwa ni watu wasio serikalini! It means serikali imelala tu. Kibaya kuliko vyote unatunga sheria ya kuwabana watoa taarifa za kiuchunguzi..hivi kuna uzalendo kweli hapa?? Halafu wabunge wa CCM wanaipitisha kwa kishindo kwa hati ya dharura eti kisa tu imetoka ikulu. Acha JPJM awaonyeshe walioiharibu nchi jinsi ya kufanya KAZI
 
Rais wetu Dr Magufuli ondoa kinga ya rais aliyestaafu ili Kikwete akamwone shakhe Ponda na hao akina Mramba

Maghufuli taifisha fast jet zakikwete hazilipi kodi yet nauli ni 2* precision kikwete ameifilisi hii nchi
 
ukiwa mbumbumbu utabeza, ukiwa kama nyumbu utaliwa na fisi, mamba ,chui na simba bila kujijua.

mh Kikwete ni rais wa aina yake. hembu pitia hapa na kama wewe nigreat thinker basi utakubali bila kubururuzwa.

1. UTAWALA WA SHERIA.
Wengi hawafahamu namna kikwete alivojitahidi kuweka utawala wa sheria. mfano tu sasa hivi kuna magazeti na TV hazisemeki na watu wanapaswa kulitambua. pia haki za binadamu zimeboreshwa na watu wengi hiv sasa wanatambua haki zao ukilinganisha na zamani. Katika utawala wa kikwete Said Mwema aliunda hadi polisi jamii lengo likiwa kulinda haki za binadamu.
:
wapinzani saivi wajipange maandamano ya kipuuzi ndio mwisho. saiv mikutano ya hadhara imezuiliwa na bado polisi watakuwa na zero tolerance kwa wakorofi


2.KUPAMBANA NA RUSHWA NA UBADHIRIFU.
Kikwete alipoingia aliwakamata mawaziri wawili kwa rushwa, wafanyazi wengi sana walikamatwa, ameunda Takukuru kuchunguza wezi, pia kuruhusu CAG kupeleka ripoti yake bungeni. mazuzu wasioelewa hawajui ni jambo kubwa sana alilolifanya rais kikwete kwani ubadhirifu serikalini uliwekwa wazi na wabunge kuchukua hatua.

3.ALIPIGANIA USTAWI NA AMANI YA WAZANZIBAR
Kikwete hakulala alipoona wazanzibar wakigombana wenyewe kwa wenyewe. alisimamia muafak hadi Leo upo. zanzibar a man IPO na wamepiga hatua kubwa na kupunguza mivutano na uhasama.

4. KUANZISHA MCHAKATO WA KATIBA MPYA
Kikwete alifanya jambo la kijasiri kuanzisha mchskato wa katiba mpya ambayo inasubiriwa ipigiwe kura Tanzania kwa miaka 50 ipate katiba mpya

5. KUWAJALI WAPINZANI WAKE
Kikwete alimteua Mh Mbatia kuwa mbunge.lakini shukran ya punda ni mateke.

bila shaka wapinzani na wanaomshutumu Kikwete hawana muda mrefu watamkumbuka kwa mema mengi aliyoyafanya.

let us discuss ideas and issues not people.
wewe acha kuwa mbumbu huwezi linganisha kasi ya magufli na uzalendo kwa nchinyake na huyo unayemtaja, amefilisi nchi sana, mkapa na yeye lazima wachukuliwe hatua za matumizi mabaya ya madaraka
 
naomba baba magufuli usiwarudishe mawaziri wa kikwete hata mmoja abaki huyo majaliwatu, tafuta wapya hata wapinzani weka
 
Sasa ni zamu ya kufanya kazi, mambo ya selfie, keki za birthday, send off na reception ikulu, Kuzurura ughaibuni zimekwisha!! Bado Governor siku zake zinahesabika huwezi kuacha bureaude change zinazagaa mtaani kuliko idadi ya Barbershop!

Hahahahhahah umetisha..
 
if u have no data or research u have no right to speak
1.hata marekani a big power inadaiwa mabilioni na China how can u grow ur economy without borrowing? that is nonsense question
2 huwez kumpeleka mahakamani MTU km huna ushahidi mahakama sio kibaraza cha kahawa. mfano magufuli alikamata meli ya samaki ikataifishwa unajua hasara serikali iloingia kulipa billion. ur so ignorant.
3. ur so foolish. amepeleka jeshi Comoro na kuikomboa kutoka kwa waasi, alisaidia muafaka Kenya, ametuma vikosi vipo Congo io ni kwa ufupibado issue za mazingira yan ur so idiot
4 anangalia km ngapi za barabara na madaraja zimejengwa, angalia mradi wagesi, anagalia maboresho chuo kikuu cha tiba,angalia usambazaji umeme vijijini etc
5 am so tired to engage with a man like u!

ok,ok ,ok......angekua mzuri then haya majipu yanayotumbuliwa yametoka wapi? ni matokeo yake ya kufuga uozo
ukiangalia watanzania wengi walikua wanaichukia saaaana ccm na wamekata nayo tamaa kabisa{uchaguzi mkuu mwaka huu mikoa ya mbeya mjini tanga mjini,dar, arusha mjini, moshi na kwingine ambako kuna watu waenye utashi ccm imeanguka} lakini sasa hivi matumaini yamerudi baada ya j.k kuondoka, ana mazuri yake ila siwezi kumsifia kama unavyomsifia
 
ukiwa mbumbumbu utabeza, ukiwa kama nyumbu utaliwa na fisi, mamba ,chui na simba bila kujijua.

mh Kikwete ni rais wa aina yake. hembu pitia hapa na kama wewe nigreat thinker basi utakubali bila kubururuzwa.

1. UTAWALA WA SHERIA.
Wengi hawafahamu namna kikwete alivojitahidi kuweka utawala wa sheria. mfano tu sasa hivi kuna magazeti na TV hazisemeki na watu wanapaswa kulitambua. pia haki za binadamu zimeboreshwa na watu wengi hiv sasa wanatambua haki zao ukilinganisha na zamani. Katika utawala wa kikwete Said Mwema aliunda hadi polisi jamii lengo likiwa kulinda haki za binadamu.
:
wapinzani saivi wajipange maandamano ya kipuuzi ndio mwisho. saiv mikutano ya hadhara imezuiliwa na bado polisi watakuwa na zero tolerance kwa wakorofi


2.KUPAMBANA NA RUSHWA NA UBADHIRIFU.
Kikwete alipoingia aliwakamata mawaziri wawili kwa rushwa, wafanyazi wengi sana walikamatwa, ameunda Takukuru kuchunguza wezi, pia kuruhusu CAG kupeleka ripoti yake bungeni. mazuzu wasioelewa hawajui ni jambo kubwa sana alilolifanya rais kikwete kwani ubadhirifu serikalini uliwekwa wazi na wabunge kuchukua hatua.

3.ALIPIGANIA USTAWI NA AMANI YA WAZANZIBAR
Kikwete hakulala alipoona wazanzibar wakigombana wenyewe kwa wenyewe. alisimamia muafak hadi Leo upo. zanzibar a man IPO na wamepiga hatua kubwa na kupunguza mivutano na uhasama.

4. KUANZISHA MCHAKATO WA KATIBA MPYA
Kikwete alifanya jambo la kijasiri kuanzisha mchskato wa katiba mpya ambayo inasubiriwa ipigiwe kura Tanzania kwa miaka 50 ipate katiba mpya

5. KUWAJALI WAPINZANI WAKE
Kikwete alimteua Mh Mbatia kuwa mbunge.lakini shukran ya punda ni mateke.

bila shaka wapinzani na wanaomshutumu Kikwete hawana muda mrefu watamkumbuka kwa mema mengi aliyoyafanya.

let us discuss ideas and issues not people.

Rais ni mmoja tu, na kwa sasa ni Magufuli.
Rekebisha post yako.
 
Kwa sasa anasahaulika kirahisi zaidi....kuliko rais yeyote kupata kutokea East africa.
 
Tatizo lako linafahamika unayaangalia haya mambo kidini, yes I said it. Kikwete was the worst president Tanzania has ever had.

1. Uliza deni la taifa lilikuwa sh. ngapi kala hajaingia madarakani na sasa ni sh ngapi?

2. Aliwafanya nini wezi mapapa wa EPA, Escrow, Dowans?

3. Ameifanyia nn Africa cha kukumbukwa?

4. Safari zake za nje ziligharimu sh. ngapi?

5. Alifanya nn kuhakikisha national fabric iko intact??


Kweni mangapi umeifanyia familia yako mabaya bila ridhaa yao?na pengine umekwenda wrong bila wewe kujua lakini mwisho wa siku unakuja tambua kua ulichemka,JK siyo wa kulaumiwa kiviiilee! Kumbuka amedumisha amani pia naweza sema,kule kucheka kwake kumetusaidia,fikilia maneno mabaya juu yake yalokua yanasemwa na wapinzani hadharani hata kama ni ya kweli,nani anaweza kuyasema kwa akina Museveni,Nkulunzinza au Kagame?wangeshafichwa na usingewaona kipindi hk cha siasa zilizopita,lakini kwa JK kwa moyo wake usiokua na bifu na masifa ya kua yeye ndo rais alikua akipuuza maneno yote ya kejeli na kuwatazama tu,hiyo ni kutaka watu wakae kwa amani,yapo mabaya ktk uongozi wake kwa sababu amekua akiongoza watu na siyo miti,lakini pia mazuri ni mengi.
 
Writer of this thread, is almost DEAD, mentally burried, physically walking...!

In short, JK is the WORST EVER President our country has ever had..!!! May be in 1000 yrs in the FUTURE, hatuwezi kuwa na Rais worst kama JK... sihitaji kueleza... sbb MFU hawezi jua...😨

Poorest thread of all the time, tokea Magufuli atinge IKULU...!!!

Haya ulio ongea, THE OPPOSITE is TRUE...!!

Wewe mtoa mada si nyumbu, nyumbu is by far the BEST, ww ni MFU kabisa..
Period...!! 🚶🚶🚶
 
Kweni mangapi umeifanyia familia yako mabaya bila ridhaa yao?na pengine umekwenda wrong bila wewe kujua lakini mwisho wa siku unakuja tambua kua ulichemka,JK siyo wa kulaumiwa kiviiilee! Kumbuka amedumisha amani pia naweza sema,kule kucheka kwake kumetusaidia,fikilia maneno mabaya juu yake yalokua yanasemwa na wapinzani hadharani hata kama ni ya kweli,nani anaweza kuyasema kwa akina Museveni,Nkulunzinza au Kagame?wangeshafichwa na usingewaona kipindi hk cha siasa zilizopita,lakini kwa JK kwa moyo wake usiokua na bifu na masifa ya kua yeye ndo rais alikua akipuuza maneno yote ya kejeli na kuwatazama tu,hiyo ni kutaka watu wakae kwa amani,yapo mabaya ktk uongozi wake kwa sababu amekua akiongoza watu na siyo miti,lakini pia mazuri ni mengi.

Am I even supposed to respond to this one? Mkuu unahitaji "kubrush" kidogo kiswahili unachoandika. Kuchekea wapinzani si ajabu maana hata mafisadi alikuwa anawachekea, wauza unga pia, wazembe in short hiyo si sifa ya mleta amani bali a "weak leader" and that is who he was!!
 
ukiwa mbumbumbu utabeza, ukiwa kama nyumbu utaliwa na fisi, mamba ,chui na simba bila kujijua.

mh Kikwete ni rais wa aina yake. hembu pitia hapa na kama wewe nigreat thinker basi utakubali bila kubururuzwa.

1. UTAWALA WA SHERIA.
Wengi hawafahamu namna kikwete alivojitahidi kuweka utawala wa sheria. mfano tu sasa hivi kuna magazeti na TV hazisemeki na watu wanapaswa kulitambua. pia haki za binadamu zimeboreshwa na watu wengi hiv sasa wanatambua haki zao ukilinganisha na zamani. Katika utawala wa kikwete Said Mwema aliunda hadi polisi jamii lengo likiwa kulinda haki za binadamu.
:
wapinzani saivi wajipange maandamano ya kipuuzi ndio mwisho. saiv mikutano ya hadhara imezuiliwa na bado polisi watakuwa na zero tolerance kwa wakorofi


2.KUPAMBANA NA RUSHWA NA UBADHIRIFU.
Kikwete alipoingia aliwakamata mawaziri wawili kwa rushwa, wafanyazi wengi sana walikamatwa, ameunda Takukuru kuchunguza wezi, pia kuruhusu CAG kupeleka ripoti yake bungeni. mazuzu wasioelewa hawajui ni jambo kubwa sana alilolifanya rais kikwete kwani ubadhirifu serikalini uliwekwa wazi na wabunge kuchukua hatua.

3.ALIPIGANIA USTAWI NA AMANI YA WAZANZIBAR
Kikwete hakulala alipoona wazanzibar wakigombana wenyewe kwa wenyewe. alisimamia muafak hadi Leo upo. zanzibar a man IPO na wamepiga hatua kubwa na kupunguza mivutano na uhasama.

4. KUANZISHA MCHAKATO WA KATIBA MPYA
Kikwete alifanya jambo la kijasiri kuanzisha mchskato wa katiba mpya ambayo inasubiriwa ipigiwe kura Tanzania kwa miaka 50 ipate katiba mpya

5. KUWAJALI WAPINZANI WAKE
Kikwete alimteua Mh Mbatia kuwa mbunge.lakini shukran ya punda ni mateke.

bila shaka wapinzani na wanaomshutumu Kikwete hawana muda mrefu watamkumbuka kwa mema mengi aliyoyafanya.

let us discuss ideas and issues not people.

Kikwete ndie raisi atakaye sahaulika mapema sana kwenye mioyo ya watz kupita maraisi wote kutokana na kutoitendea haki nchi yake kwa kujilimbikizia Mali,kuaribu dira ya uchumi wetu na kutodhamini rasilimali zetu.
 
if u have no data or research u have no right to speak
1.hata marekani a big power inadaiwa mabilioni na China how can u grow ur economy without borrowing? that is nonsense question
2 huwez kumpeleka mahakamani MTU km huna ushahidi mahakama sio kibaraza cha kahawa. mfano magufuli alikamata meli ya samaki ikataifishwa unajua hasara serikali iloingia kulipa billion. ur so ignorant.
3. ur so foolish. amepeleka jeshi Comoro na kuikomboa kutoka kwa waasi, alisaidia muafaka Kenya, ametuma vikosi vipo Congo io ni kwa ufupibado issue za mazingira yan ur so idiot
4 anangalia km ngapi za barabara na madaraja zimejengwa, angalia mradi wagesi, anagalia maboresho chuo kikuu cha tiba,angalia usambazaji umeme vijijini etc
5 am so tired to engage with a man like u!

Umeishiwa point wewe
Kila nchi ina limit ya kukopa marekani wanakopa but uchumi wake unauonaje,unawadanganya watanzania na ujenzi wa barabara but kumbuka zaidi ya asilimia 80 ni mikopo ya nje na ndio iliyosabanisha kushuka kwa dhamani ya fedha yetu.
Poor focus ya kikwete na ubabe wa kipwani ndio umelifikisha hili taifa hapa
Kikwete alikuwa timamu kweli anadhubutu kusema wazungu wana hela sana so ni kutafuta njia tuu ya kuwaomba huyu raisi alikuwa anawashauri makini kweli
Amejitoa ufahamu kuwa rasilimali zote zinazo ya fanya mataifa hayo kuwa juu ni kutoka kwetu.
 
Back
Top Bottom