Rais Kikwete ampa somo lowassa

Rais Kikwete ampa somo lowassa

Hao yote uliyaordhesha ndiyo kafanya vizuri saa akiazi na afya, elimu, miundo mbinu nk

Hivi kikwete miaka kumi kafanya nini..tuongee subsyance kidogo
1.elimu imeshuka
2.afya usiseme mimi nipo huko najua(na mgomo mkubwa ulitokea wakate wake-ila bongolala ccm watakuwa wamesahau)
3.wizi na rushwa usiseme
4.katiba mpya kaikanyaga kanyaga( kazi kubwa ya warioba kaharibu ndani ya hotuba ya nusu saa-pole pole hakumbuki ati.?!)
5.wakulima sijui hata kama wapo tena
6. Uwajibikaji ofice za serekali zero
So umesema kikwete kampa somo lowasa somo gani hasa, labda mamna ya kuwa failure president
 
Unawalisha wazo kwa nani? na nani anakutuma kusimamia.. Hebu fikiri ulichoandika na tofautisha na nilichoeleza


Acha ujinga wako...IQ ndogo haiwezi kuongoza IQ kubwa....kama nimetoa wazo na likakubalika na nikapewa kazi ya kulisimamia na likafanikiwa mm niliyesimamia ndiye napaswa kupongezwa.

Kwa nini hadi sasa tunampongeza Jenerali Twalipo?
 
Kuna tofauti kubwa kati ya facts na vijembe. Mfano tukisema afya ya Lowasa ni duni, hicho ni kijembe au fact.


Watu wa ccm mi nawashauri tu mkae mkao wa kushindwa. Wengi naona mnajaribu kutupa uzi mnadhani ndo mntawabadilisha ukawa lakini naona mnagonga tu mwamba. Alafu nyie ni watu wazima mambo ya kufanyia umbea kwenye vijembe wanavyovitoa viongozi wenu ndio mnazidi kujishushia heshima. Inaonekana kweli ccm haina sifa/vigezo vya kushinda safari hii.
 
anataka kutuambia richmond nayo ilikuwa wazo lake na ina muhusu yy.mbn sasa hakuwajibika???
 
Wakati wa sherehe ya kumuaga Rais Kikwete iliyoandaliwa na Wizara ya Ujenzi, Rais kikwete alimpa somo Lowasa kwa kueleza kuwa mtu akiwa Waziri hapaswi kujisifia kuwa amelifanya jambo Fulani yeye binafsi katika nchi wakati Waziri hufanya kazi kwa niaba ya Rais. Alitolea mfano huo alipokuwa anamsifia Waziri Pombe Magufuli ambaye pamoja na kazi nzuri ya ujenzi wa Barabara lakini wakati wote amekuwa hajisifii kuwa anafanya yeye binafsi. Uchunguzi unaonesha kuwa Rais alikuwa anampa somo hilo Lowasa ambaye anajitapa kuwa alijenga UDOM wakati wazo hilo ni la JK mwenyewe binafsi wala halikuwa ktk ILANI YA CCM

Naomba nikusahihishe,wazo la UDOM lilikuwa la Che Nkapa,alichofanya yeye ni kuliendeleza wazo lile.

Sikatai kuna mabaya amefanya Lowassa lakini kuna mazuri mengi ameyafanya pia.JK angetunza heshima yake ndogo iliyobaki kwetu sisi wengine kwa kuacha kuendelea kutoa vijembe vyake visivyosaidia chochote
 
bas na hyo pesa ya Richmond walikula wote kama ni hvyo!
yan maazur alfanya na Jk alafu mabaya alifanya mwenyewe

kwa hiyo, hata kina tibaijuka na lambo za pesa za escrow ni agizo la mkuu, ahaaa...! mnaona kauli hizo muacheni lowasa kwan alitumwa.
 
Wakati wa sherehe ya kumuaga Rais Kikwete iliyoandaliwa na Wizara ya Ujenzi, Rais kikwete alimpa somo Lowasa kwa kueleza kuwa mtu akiwa Waziri hapaswi kujisifia kuwa amelifanya jambo Fulani yeye binafsi katika nchi wakati Waziri hufanya kazi kwa niaba ya Rais. Alitolea mfano huo alipokuwa anamsifia Waziri Pombe Magufuli ambaye pamoja na kazi nzuri ya ujenzi wa Barabara lakini wakati wote amekuwa hajisifii kuwa anafanya yeye binafsi. Uchunguzi unaonesha kuwa Rais alikuwa anampa somo hilo Lowasa ambaye anajitapa kuwa alijenga UDOM wakati wazo hilo ni la JK mwenyewe binafsi wala halikuwa ktk ILANI YA CCM

Huo ndiyo uzuri wa Kikwete, huwezi kabisa kupata taabu kumuelewa, kwa hivyo hapo ana maanisha anakubaliana na Lowasa kwamba ni kweli suala la Richmond Lowasa alijiuzuru kwa niaba ya rais!!
 
Wakati wa sherehe ya kumuaga Rais Kikwete iliyoandaliwa na Wizara ya Ujenzi, Rais kikwete alimpa somo Lowasa kwa kueleza kuwa mtu akiwa Waziri hapaswi kujisifia kuwa amelifanya jambo Fulani yeye binafsi katika nchi wakati Waziri hufanya kazi kwa niaba ya Rais. Alitolea mfano huo alipokuwa anamsifia Waziri Pombe Magufuli ambaye pamoja na kazi nzuri ya ujenzi wa Barabara lakini wakati wote amekuwa hajisifii kuwa anafanya yeye binafsi. Uchunguzi unaonesha kuwa Rais alikuwa anampa somo hilo Lowasa ambaye anajitapa kuwa alijenga UDOM wakati wazo hilo ni la JK mwenyewe binafsi wala halikuwa ktk ILANI YA CCM


Asante kwa taarifa, ila tunamtaka lowassa
 
Hivi kikwete miaka kumi kafanya nini..tuongee subsyance kidogo
1.elimu imeshuka
2.afya usiseme mimi nipo huko najua(na mgomo mkubwa ulitokea wakate wake-ila bongolala ccm watakuwa wamesahau)
3.wizi na rushwa usiseme
4.katiba mpya kaikanyaga kanyaga( kazi kubwa ya warioba kaharibu ndani ya hotuba ya nusu saa-pole pole hakumbuki ati.?!)
5.wakulima sijui hata kama wapo tena
6. Uwajibikaji ofice za serekali zero
So umesema kikwete kampa somo lowasa somo gani hasa, labda mamna ya kuwa failure president

Maswali mazuri sana ila sasa wagombea wooote kwa wakati tofauti wamemsifu saana JK kwa utendaji wake, vigezo gani walitumia wao wanajua zaid!!! Na wameahidi kuendeleza atakapoishia. . . . . . .

Labda waulizwe wao waliofanya naye kazi kwa karibu. . . . . . .Huwa wanasifia nini haswa??!!?
 
Back
Top Bottom