Rais, Kagera iko Tanzania

Rais, Kagera iko Tanzania

Egwugu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,558
Reaction score
8,554
Hivi mwezi unaisha hata kwenda bado hutaki, unangoja kuombwa ndo uende?

Tunakukumbusha mtukufu rais wetu, kule nako ni ndani ya mipaka ya nchi yetu. Na juzi kumetokea vifo na janga na dunia ikahamaki, watu walikufa 17, malaki waahitaji uwepo wako amiri jeshi mkuu ili vita isiwaelemee. Majumba yalivunjika na mengi kibao kupasuka, wewe uliamua kuwaombea misaada kwa niaba yao ila imeonekana, wasaidizi wako wanasema kuhusu kusaidiwa ujenzi iwe kwa kwa vifaa, pesa ama kushushwa bei, wameambiwa wakome tena wasidhubutu kuota.

Kwani rais ile misaada waliombewa watu gani tena?
Kwasababu ulitwambia umetuma askari wako basi pia tunaamini kila kinachofanywa na wao pia kina baraka zako zote. Tunakukumbusha ile ni sehemu harari ndani ya JMT.
 
Tunakukumbusha mtukufu rais wetu, kule nako ni ndani ya mipaka ya nchi yetu. Na juzi kumetokea vifo na janga na dunia ikahamaki, watu walikufa 17
Rais ana kazi nyingi muhimu zaidi.Ni Rais wa Tanzania yote sio Kgera peke yake. Msimuonee bure hili hata watangulizi wamelifanya na mmekaa kimya.

Rais mstaafu Benjamin Mkapa akiwa Amiri jeshi mkuu aliamuru chombo chake cha dola kuwaua wazanzibari( unguja na Pemba)kwa risasi na kuangamizwa zaidi ya roho 20 wakati yeye akiendeleza utalii Ulaya raha mustarehe. Hakusitisha ziara yake na kuendelea kama kawaida kama vile wliokufa ni Panzi tu.

Sasa hawa watu 17 tu ndio iwe mwao, tena vifo hivyo hajavisababisha yeye!Mhe.JPM endelea kutumbua majipu, hayo ndio kipaumbele chetu kwa sasa.
 
Hivi mwezi unaisha hata kwenda bado hutaki, unangoja kuombwa ndo uende?

Tunakukumbusha mtukufu rais wetu, kule nako ni ndani ya mipaka ya nchi yetu. Na juzi kumetokea vifo na janga na dunia ikahamaki, watu walikufa 17, malaki waahitaji uwepo wako amiri jeshi mkuu ili vita isiwaelemee. Majumba yalivunjika na mengi kibao kupasuka, wewe uliamua kuwaombea misaada kwa niaba yao ila imeonekana, wasaidizi wako wanasema kuhusu kusaidiwa ujenzi iwe kwa kwa vifaa, pesa ama kushushwa bei, wameambiwa wakome tena wasidhubutu kuota.

Kwani rais ile misaada waliombewa watu gani tena?
Kwasababu ulitwambia umetuma askari wako basi pia tunaamini kila kinachofanywa na wao pia kina baraka zako zote. Tunakukumbusha ile ni sehemu harari ndani ya JMT.
yupo lumumba
 
Sawa nimekuelewa,ntakuja mwaka 2019 kuwapa pole,MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU.
 
Hivi mwezi unaisha hata kwenda bado hutaki, unangoja kuombwa ndo uende?

Tunakukumbusha mtukufu rais wetu, kule nako ni ndani ya mipaka ya nchi yetu. Na juzi kumetokea vifo na janga na dunia ikahamaki, watu walikufa 17, malaki waahitaji uwepo wako amiri jeshi mkuu ili vita isiwaelemee. Majumba yalivunjika na mengi kibao kupasuka, wewe uliamua kuwaombea misaada kwa niaba yao ila imeonekana, wasaidizi wako wanasema kuhusu kusaidiwa ujenzi iwe kwa kwa vifaa, pesa ama kushushwa bei, wameambiwa wakome tena wasidhubutu kuota.

Kwani rais ile misaada waliombewa watu gani tena?
Kwasababu ulitwambia umetuma askari wako basi pia tunaamini kila kinachofanywa na wao pia kina baraka zako zote. Tunakukumbusha ile ni sehemu harari ndani ya JMT.
msinisumbue huko siji na hela zenu za maafa nazipeleka chato. kujenga airport na zilizobaki nimewapaTISS wausambaratishe upinzani, zingine nimempa lipumba amsambaratishe seifu, kama mnahasira anzisheni jamuhuri yenu nitarekebisha mipaka, tz ianzie chato,
 
msinisumbue huko siji na hela zenu za maafa nazipeleka chato. kujenga airport na zilizobaki nimewapaTISS wausambaratishe upinzani, zingine nimempa lipumba amsambaratishe seifu, kama mnahasira anzisheni jamuhuri yenu nitarekebisha mipaka, tz ianzie chato,
Nimejikuta natabasamu sijuhi kwa nini aisee, hii dunia ni uwanja wa fujo kweli kweli
 
Hivi mwezi unaisha hata kwenda bado hutaki, unangoja kuombwa ndo uende?

Tunakukumbusha mtukufu rais wetu, kule nako ni ndani ya mipaka ya nchi yetu. Na juzi kumetokea vifo na janga na dunia ikahamaki, watu walikufa 17, malaki waahitaji uwepo wako amiri jeshi mkuu ili vita isiwaelemee. Majumba yalivunjika na mengi kibao kupasuka, wewe uliamua kuwaombea misaada kwa niaba yao ila imeonekana, wasaidizi wako wanasema kuhusu kusaidiwa ujenzi iwe kwa kwa vifaa, pesa ama kushushwa bei, wameambiwa wakome tena wasidhubutu kuota.

Kwani rais ile misaada waliombewa watu gani tena?
Kwasababu ulitwambia umetuma askari wako basi pia tunaamini kila kinachofanywa na wao pia kina baraka zako zote. Tunakukumbusha ile ni sehemu harari ndani ya JMT.
Kumbe idd amini alikuwa sahihi, bora ingebaki kuwa sehemu ya uganda. Ila nasikia jamaa haupendi mkoa ile kutokana na historia yake binafsi ambayo wengi hawaijui
 
msinisumbue huko siji na hela zenu za maafa nazipeleka chato. kujenga airport na zilizobaki nimewapaTISS wausambaratishe upinzani, zingine nimempa lipumba amsambaratishe seifu, kama mnahasira anzisheni jamuhuri yenu nitarekebisha mipaka, tz ianzie chato,
hahaaa ....hawa wa kagera hawajaelewa,tutarekebisha mpaka thithi,ambaye hataki aache,mimi ndio raizz
 
Rais ana kazi nyingi muhimu zaidi.Ni Rais wa Tanzania yote sio Kgera peke yake. Msimuonee bure hili hata watangulizi wamelifanya na mmekaa kimya.

Rais mstaafu Benjamin Mkapa akiwa Amiri jeshi mkuu aliamuru chombo chake cha dola kuwaua wazanzibari( unguja na Pemba)kwa risasi na kuangamizwa zaidi ya roho 20 wakati yeye akiendeleza utalii Ulaya raha mustarehe. Hakusitisha ziara yake na kuendelea kama kawaida kama vile wliokufa ni Panzi tu.

Sasa hawa watu 17 tu ndio iwe mwao, tena vifo hivyo hajavisababisha yeye!Mhe.JPM endelea kutumbua majipu, hayo ndio kipaumbele chetu kwa sasa.
mmmh!! Jee ilipozama MV BUKOBA... walienda huko ziwani?
 
Kumbe idd amini alikuwa sahihi, bora ingebaki kuwa sehemu ya uganda. Ila nasikia jamaa haupendi mkoa ile kutokana na historia yake binafsi ambayo wengi hawaijui
hahaaa,nasikia walimsumbua kupitisha jina lake kwenye ubunge,si unajua kagera kama.hujui lugha yao hawakuelewi,wakati huo alikuwa anagombea kupitia wilaya ya biharamulo,na wakati huo biharamulo ilikuwa akagera,wakagera wakakata,na yeye akaikata chato,ikaja geta,akapeta
 
Kagera hii si ndio ilifanya Tanzania na Uganda kupigana vita miaka ya 70s? Mimi naona rais wetu kakubali kama Kagera ni sehemu ya Uganda

Ndukiiiii
 
Msinisumbue kabisa kwanza nyie wahaya mnapendaga vya bure.Pesa nimeomba Mimi na waziri mkuu Leo mnaleta mdomo eti za maafa nani alifungua account nani alishawishi wasamalia??Mnikome na msinisumbue TETEMEKO ALIKULETWA NA CCM NA WALA SIO SERIKALI YANGU ni Mungu..​
 
Kagera hii si ndio ilifanya Tanzania na Uganda kupigana vita miaka ya 70s? Mimi naona rais wetu kakubali kama Kagera ni sehemu ya Uganda

Ndukiiiii
Wahaya wanailetea mikosi nchi hii Mara ukimwi Mara tetemeko.Mimi huko siendi nisije nikapata mikosi nikashindwa kuwatumikia watanzania.Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.MNIOMBEE HII KAZI NI NGUMU Hiiiii bagoshaaaa hiiiiiii
 
Wahaya wanailetea mikosi nchi hii Mara ukimwi Mara tetemeko.Mimi huko siendi nisije nikapata mikosi nikashindwa kuwatumikia watanzania.Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu.MNIOMBEE HII KAZI NI NGUMU Hiiiii bagoshaaaa hiiiiiii
Mkuu umejiunga na mtandao wakati umesema unatamani malaika waipotezee kule
 
Back
Top Bottom