Rais Joseph Pombe Magufuli tunapoelekea sio salama kabisa

F.S

Member
Sep 5, 2014
34
26
Kwa kutumia mamlaka liyopewa kwa nguvu ya walio wengi bungeni. Akaamua kuukandamiza utu kwa kuna mjadala wa mwanafunzi zaidi ya 7000 hauna uzito na hauna mashiko.

Huku ni kudharau watanzania. Ni kutumia mamlaka kuwanyima haki watoto wale wa maskini ambayo Rais Joseph Pombe Magufuli mekuwa akiimba kila Leo kuwa anawajali na ndio waliomchagua.

Huu ni unafiki wa hali ya juu kwa watanzania. Eti Tundu Lissu na Bulaya kuliona bunge ni 2017. Hivi ni hiyo kamati iliyowapeleka bungeni au? Naibu Spika ametumia nguvu kuilinda serikali. Kitu ambacho ni udhalimu kwa watanzania waliowachagua wawakilishi wao wawakilishe bungeni. Leo wanaambiwa wasihudhurie vikao kwa kutetea bunge kuonekana live. Ubabe huu wa Museven mnataka muujaribu na huku?

JPM Sijui tunakoelekea kama ni salama.

Nidhamu ni muhimu sana ika sidhani kama hiyo ni njia bora ya kutengeneza hilo. Kanuni zipo na zitumike kuleta nidhamu kwa usawa.
 
Kwa kutumia mamlaka niliyopewa kwa nguvu ya walio wengi bungeni. Akaamua kuukandamiza utu kwa kuwa kuna mjadala wa mwanafunzi zaidi ya 7000 hauna uzito na hauna mashiko.
Huku ni kudharau watanzania. Ni kutumia mamlaka kuwanyima haki watoto wale wa maskini ambayo JPM amekuwa akiimba kila Leo kuwa anawajali na ndio waliomchagua.

Huu ni unafiki wa hali ya juu kwa watanzania. Eti Tindu Lisu na Bulaya kuliona bunge ni 2017. Hivi ni hiyo kamati iliyowapeleka bungeni au? Naibu spika ametumia nguvu kuilinda serikali. Kitu ambacho ni udhalimu kwa watanzania waliowachagua wawakilishi wao wawawakilishe bungeni. Leo wanaambiwa wasihudhurie vikao kwa kutetea bunge kuonekana live. Ubabe huu ni sawa na ule wa Museven, mnataka muujaribu na huku?

Rais Magufuli Sijui tunakoelekea kama ni salama.
Nidhamu ni muhimu sana ila sidhani kama hiyo ni njia bora ya kutengeneza hilo. Kanuni zipo na zitumike kuleta nidhamu kwa usawa.
 
Kwa kutumia mamlaka liyopewa kwa nguvu ya walio wengi bungeni. Akaamua kuukandamiza utu kwa kuna mjadala wa mwanafunzi zaidi ya 7000 hauna uzito na hauna mashiko.

Huku ni kudharau watanzania. Ni kutumia mamlaka kuwanyima haki watoto wale wa maskini ambayo JPM amekuwa akiimba kila Leo kuwa anawajali na ndio waliomchagua.

Huu ni unafiki wa hali ya juu kwa watanzania. Eti Tindu lisu na Bulaya kuliona bunge ni 2017. Hivi ni hiyo kamati iliyowapeleka bungeni au? Naibu spika ametumia nguvu kuilinda serikali. Kitu ambacho ni udhalimu kwa watanzania waliowachagua wawakilishi wao wawawakilishe bungeni. Leo wanaambiwa wasihudhurie vikao kwa kutetea bunge kuonekana live. Ubabe huu wa museven mnataka muujaribu na huku?

JPM Sijui tunakoelekea kama ni salama.

Nidhamu ni muhimu sana ika sidhani kama hiyo ni njia bora ya kutengeneza hilo. Kanuni zipo na zitumike kuleta nidhamu kwa usawa.


Kwa hiyo tukusaidiaje sasa? Hama nchi au kunywa sumu kama Raisi Magufuli anakukera sana!
 
Nchi hii taratibu inatawaliewa kwa mabavu ya kijinga
Welcome new Adolf the Fifth Reich Fuhrer
 
huyo tundu lissu unayemsemea hapa ni mwanasheria mzuri tu tena sana! kama anaona ameonewa si aende mahakamani?
 
Ninamtabiria Tulia kifo kibaya kisiasa,itafika mahali atachemka,atanyanyasika,atatengwa na kusengenywa.Kama waandamizi wastaafu wanaambiwa hadharani wamemuachia mkuu wa nchi mzigo unadhani yeye atakuja kuambiwaje kama wabunge makini wakiamua akiachie kiti?

Aondoke waje wazoefu wa siasa za bunge kama Zungu wanaoweza kuhoji na kuhukumu kutokana na uzoefu,umri na mitazamo.Huyo Tulia anamtazamo hasi kwakila atakae ikosoa serikali
 
Hapa rais yupo sahihi.

Kigezo cha kufaulu ni pass mark,ili kukidhi university standards/
Tukiyaachia haya tutakuja kuwa na vyuo vya hovyo sana.

N.B:Mwishowe tukawa na vyuo vingi lakini worthless.
 
Kwa kutumia mamlaka liyopewa kwa nguvu ya walio wengi bungeni. Akaamua kuukandamiza utu kwa kuna mjadala wa mwanafunzi zaidi ya 7000 hauna uzito na hauna mashiko.

Huku ni kudharau watanzania. Ni kutumia mamlaka kuwanyima haki watoto wale wa maskini ambayo JPM amekuwa akiimba kila Leo kuwa anawajali na ndio waliomchagua.

Huu ni unafiki wa hali ya juu kwa watanzania. Eti Tindu lisu na Bulaya kuliona bunge ni 2017. Hivi ni hiyo kamati iliyowapeleka bungeni au? Naibu spika ametumia nguvu kuilinda serikali. Kitu ambacho ni udhalimu kwa watanzania waliowachagua wawakilishi wao wawawakilishe bungeni. Leo wanaambiwa wasihudhurie vikao kwa kutetea bunge kuonekana live. Ubabe huu wa museven mnataka muujaribu na huku?

JPM Sijui tunakoelekea kama ni salama.

Nidhamu ni muhimu sana ika sidhani kama hiyo ni njia bora ya kutengeneza hilo. Kanuni zipo na zitumike kuleta nidhamu kwa usawa.

Mkuu wakati naweza kukubaliana na hoja yako..nadhani tujifunze kutofautisha mambo. Tukifanya hivyo tunaweza kupata suluhisho la haya matatizo....Otherwise tutajikuta tukipoteza hoja. Swala la Speaker should be treated as such. Kuliunganisha swala la Speaker na wanafunzi wa UDOM ni kutowatendea haki watanzania na hao wanafunzi in particular. Tuangalie shida iko wapi..na kama hoja yetu tunaweza kuidhibitisha basi tuiweke mezani. Siyo kila kitu ni politics Mkuu.

If we believe Naibu Speaker is incompetent then she should be treated as such. Tufuate channels zilizopo bungeni kudeal na hili swala. I can guarantee you, Magufuli (ingawa kikatiba ni sehemu ya Bunge) angeingilia au aka-comment issue za bungeni....watu humu watammaliza kwamba anaingilia Muhimili wa Bunge.

Yes, Magufuli ana mapungufu yake mengi lakini tujitahidi kila hoja ijisimamie na kusimama yenyewe. Haina haja ya kufananisha mapungufu ya Naibu Speaker na maamuzi ya Magufuli. Vinginevyo tutajichanganya kwenye mambo ya msingi.
 
kweli mnapo elekea si salama ,UKAWA inaenda kuvunjika, kwasababu lipumba anarudishwa CUF, na Bab Duni anarudia nafasi yake, na hoja yenu ya msingi ni Kumsafisa EL na kumng'oa Dr Tulia, ambazo kimsingi si shida za watanzania
 
Hapa rais yupo sahihi.

Kigezo cha kufaulu ni pass mark,ili kukidhi university standards/
Tukiyaachia haya tutakuja kuwa na vyuo vya hovyo sana.

N.B:Mwishowe tukawa na vyuo vingi lakini worthless.
Inaonekana suala la UDOM hukulielewa vema. Issue ya dip maalum ilifanywa na serikali ya awamu ya nne kwa nia nzuri na walichagua wanafunzi kwa kuzingatia vigezo vilivyowekwa hawakujipeleka wenyewe wala kugushi sifa. Sasa leo ukianza kuwakana tena na kejeli si sawa sawa hata kidogo
 
Back
Top Bottom