Rais Joseph Pombe Magufuli: Mzee Kikwete umeniachia kazi ngumu

Tunataka lumumba na nyie washabiki wao mtwambie huyu rais wenu bulldozer kafanya jambo gani laana la kujivunia hadi saizi? Fine Jk was laize afea ingawa tulikua tunalalamikia hiyo na pia ughali wa maisha huyu kashindwa kuziba hiyo pancha kwenye uchumi ndo kaharibu jumla vitu viko bei juu mbaya zaidi pesa haipatikani unlike Jk,sisiem wote ni maboga tu
 
Wakati mwingine tusikandae mambo kikada tuwe kitaifa.
 
Nadhani tumepata rais mbovu kuliko wote tangu nchi hii iumbwe. Aliposema hatosoma hotuba yake na badala yake atapiga hivo hivo niliwaambia niliokaa nao subirini vituko
Endelea kulia lia MKUU mwanaume kazini.
 
JK ni mtu wa watu na kipenzi cha watu ,nani asiyekosea?
 
Barabara[/QUOTE]
Wapi humo viazi kilo 1500.?? Hiyo bei nmeisahau viazi kilo 2500. Maisha yamezid kua magumu. Hela zimewekwa tu hazina hazpo kny mzunguko. Masikin tumetoa ulimi nje kuhemea juu juu. Ngosha anakazana na majipu huku wananchi 2naangamia. Anapiga 2 makelele n kuonesha undavalization
 
uharo mtupu
 
in short he is unfit for the position, his action and decision are dangerously incoherent...this isn't reality television this is actual reality
 
Wapi humo viazi kilo 1500.?? Hiyo bei nmeisahau viazi kilo 2500. Maisha yamezid kua magumu. Hela zimewekwa tu hazina hazpo kny mzunguko. Masikin tumetoa ulimi nje kuhemea juu juu. Ngosha anakazana na majipu huku wananchi 2naangamia. Anapiga 2 makelele n kuonesha undavalization[/QUOTE]

Viazi vikipanda ni vizuri maana vizalishwa humu humu na wakulima wetu ,na wew kalime kwa kuwa utafaidika na hiyo bei
 
Mbumbumbu haeleweshwi mtaendelea kumkebehi magu mpaka mwisho wa maisha yenu lakini nchi itabakia mikononi mwa ccm

Hee!!!yaaani kufikilia kwako kote umeona la muhimu ni nchi kubaki mikononi mwa ccm tu!!hapa ndio huwa namuona trump kumbe ana logic!!!
 
Kusema ukweli tunahitaji nguvu ya ziada kutoka hapa tulipo. Kwasasa tumekwama. Tanzania ya viwanda imebaki kuwa kwenye vinywa vya viongozi lakini mikakati ya kutupeleka huko ni Zeeroo. Kila tukiangalia vyombo vya habari jamaa ni full kulalamika as if yeye amekuja kama diaspora kumbe ni mtu amekaa serikalini miaka 20.
 
Kwa mara ya kwanza kuona Kikwete serious, baada ya yale maneno Kikwete kama hakupenda maana sio kawaida yake hakutoa hata smile. Nadhani hakuchukulia poa yale maneno.
 
iliona us wa JK ukiwa umekunjamana baada ya hii kauli huku watu wakiangua vicheko
 
True Kikwete alichukia ile kauli na ni nadra kumuona Kikwete kukasirika. Ila JPM hakufanya sawa ile kauli mbaya tena mbele ya wasomi, not good.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…