Rais azima political revolution 2020

Rais azima political revolution 2020

daida

Member
Joined
Oct 30, 2017
Posts
19
Reaction score
5
•Kwanza najisikia Faraja kubwa kwa aliekuwa kiongozi wangu KATAMBI (BAVICHA)kunifuata chama cha mapinduzi ambapo mimi nikiwa katibu mwenezi vijana wilaya ya BUKOMBE, 2015 rais alipokuja nilivua magwanda nikamuunga mkono nikajua tu kwamba CHADEMA imekwisha baada ya mzee wa mvi kuingia na rushwa kubwa ndani ya chama.

Nakuja kwenye hoja sasa.

•Incubation stage in revolution,2013-2014- 2015 kulikuwa na sharp criticism angaist the authority and faith is lost in the system, kulikuwa na ukosoaji mkubwa sana dhidi ya serikali na watu kukosa imani na serikali yao, Leo hoja za kuikosoa serikali kama ilivyokuwa awali hakuna sana na watu wamerejesha imani kwa serikali yao, watu wanaweza kusema mbona mikutano ya hadhara haipo umejuaje kuwa criticism hazipo ,hata mikutano ikiwapo akasima Katambi na akasimama Mkumbo na Kafulila tayali hoja za upizani zinaisha ,Bado sijasimama Mimi ambae ndie nilikuwa wa pili kuhama chama nchi nzima baada ya dokta slaa,nikiwa Bukombe hakutakuwa na hoja tena.

•The raise of incompetence leadership, tuliona miaka ya 2007 baraza la mawaziri lilivunjwa kwa kashifa ya ufisadi Richmoood na ESCROW watu walijuhudhuru sana sisi tulioipenda chadema tukajua tayari CCM tumeilegeza, cha ajabu 2015 sababu hii ya kuilegeza CCM ikawa ni sababu ya kuyadhohofisha mabadiliko ndani ya chadema kwa kuwarudisha wale tuliowasema siyo viongozi wazuri eti wawe viongozi wazuri kwa kubadilisha gia angani, hapa hata mwendawazimu alistuka sana, sioni ajabu Machali , Kafulila, Katambi, Mkumbo, Mgwira.

•Atleast one class is in the raise of economy that demand power and authority, tuliona watu wenye fedha zao wakitaka madaraka kwa nguvu ya pesa kama MZEE wa mvi, na kundi lao huku tukijua wazi pesa chafu ikitumika vibaya inahatarisha usalama wa nchi ,rais Magufuli amewazibidi watu wa namna hii sasa hakuna mjinga atatumia pesa hovyo akijua akishinda uchaguzi atazirudisha hiyo imekula kwao naamini uchaguzi wa 2020 utakuwa wa adabu watu hawatadeki lami eti anapita mgombea, pesa itatumika katika misingi muhimu sana, sasa hivi tunaona watu wanaenda mahakamani kwa ufisadi mkubwa, hongera rais kuzima mapinduzi .

•Crisis hii ni vurugu halalishi kama vile maandamano, ulivyosema wewe hujaribiwi ulimaanisha ukweli na ulisema kama wanaandamana watangulie viongozi wa chadema wakafyta mkia , kule KIBITI napo ulipadhibiti vizuri sana mimi nasema Tanzania kuna bongo hakuna kondoo.

MWISHO;MIMI NASHUKUKURU SANA KUKUUNGA MKONO 2015 NIKIWA BUKOMBE BILA KUJALI UTASHINDA AU HUTASHINDA, NA JIMBO LA BUKOMBE LIKARUDI CCM HUKU CHADEMA KUPOTEZA VITI VYOTE VYA UDIWANI 3 NAKUBAKIZA KIMOJA KATI YA KATA 17, LEO CHADEMA MNAJINASIBU MNAFANYA SIASA,?IPI?LEO RAIS WATU WATAJITOKEZA WENGI SANA KUKUUNGA MKONO LAKINI PIA USISITE KUTUTUMIA TULIOHAMIA CCM 2015 UKIONA INAPENDEZA NA INAFAA KWA UTASHI WAKO, SIASA NI MAISHA NA LAZIMA TUIJENGE NCHI YETU KWA MAARIFA YOTE NA TUSEME UKWELI,

•SHUKRANI YA DHATI SANA KWA AMANI MWENEGHOHA KUNIRUDISHA CCM, MUNGU AKUPE AFYA NJEMA SANA MAANA ULILETA USHIDI MKUBWA SANA BUKOMBE, BUKOMBE ILIKUWA NA HISTORIA 2010 KIKWETE KUZOMEWA LAKINI WEWE ULIHAKIKISHA MGOMBEA WA CCM HAZOMEWI KUMBUKA KUMUOMBA MUNGU SANA KAMA UTAUSOMA HUU UZI, SHUKRANI YA PUNDA NI MATEKE.

•CHAPA KAZI MUHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI NINAPOKUONA INATOSHA KATIKA MOYO WANGU.

4ba94792303ac68f3f335733929b2076.jpg
 
Dr. JPM namkubali japo mimi siyo ccm wala cdm ama chama chochote cha siasa.

Kijana, daida , huu Uzi wako una ukakasi na hasa Mayalla (kwa kikwao ni njaaaaaaaaa)
 
LETENI UZI WENYE MAMBO YA MAENDELEO KWA VIJANA.PROPAGANDA ZA KISIASA NA KUJIKOMBAKOMBA HAZITUSAIDII KITU KIUCHUMI.KWANZA MAMBO YA SIASA YAMEKATAZWA MPAKA 2020.
 
aiseee.Jamani jamani ..mbona mnataka ajira zote kule CCM .Hamjui kuwa kuna uvvccm wanasota siku zote hawapati kitu
 
Mleta uzi umesahau kuweka namba ya simu.
 
aiseee.Jamani jamani ..mbona mnataka ajira zote kule CCM .Hamjui kuwa kuna uvvccm wanasota siku zote hawapati kitu
uvccm hawana hati miliki ya uongozi katika nchi hii,if your mind is conguered you are no going anywhere,
 
LETENI UZI WENYE MAMBO YA MAENDELEO KWA VIJANA.PROPAGANDA ZA KISIASA NA KUJIKOMBAKOMBA HAZITUSAIDII KITU KIUCHUMI.KWANZA MAMBO YA SIASA YAMEKATAZWA MPAKA 2020.
mwambie mboye asimpokee nyarandu kama hataki propaganda
 
Dr. JPM namkubali japo mimi siyo ccm wala cdm ama chama chochote cha siasa.

Kijana, daida , huu Uzi wako una ukakasi na hasa Mayalla (kwa kikwao ni njaaaaaaaaa)
hatuandiki nyuzi kukufurahisha ww isipokuwa constructive idea za kujenga siasa safi
 
Nani alitudanganya kazi za vyama vya siasa ni kupambana na ufisadi na kuleta maendeleo? Hizo ni mojawapo ya kazi za serikali. Chama tawala kuishauri serikali yake, vyama vya upinzani kushauri na kuikosoa serikali na chama tawala. Hakuna ukomo wa maendeleo
 
•Kwanza najisikia Faraja kubwa kwa aliekuwa kiongozi wangu KATAMBI (BAVICHA)kunifuata chama cha mapinduzi ambapo mimi nikiwa katibu mwenezi vijana wilaya ya BUKOMBE, 2015 rais alipokuja nilivua magwanda nikamuunga mkono nikajua tu kwamba CHADEMA imekwisha baada ya mzee wa mvi kuingia na rushwa kubwa ndani ya chama.

Nakuja kwenye hoja sasa.

•Incubation stage in revolution,2013-2014- 2015 kulikuwa na sharp criticism angaist the authority and faith is lost in the system, kulikuwa na ukosoaji mkubwa sana dhidi ya serikali na watu kukosa imani na serikali yao, Leo hoja za kuikosoa serikali kama ilivyokuwa awali hakuna sana na watu wamerejesha imani kwa serikali yao, watu wanaweza kusema mbona mikutano ya hadhara haipo umejuaje kuwa criticism hazipo ,hata mikutano ikiwapo akasima Katambi na akasimama Mkumbo na Kafulila tayali hoja za upizani zinaisha ,Bado sijasimama Mimi ambae ndie nilikuwa wa pili kuhama chama nchi nzima baada ya dokta slaa,nikiwa Bukombe hakutakuwa na hoja tena.

•The raise of incompetence leadership, tuliona miaka ya 2007 baraza la mawaziri lilivunjwa kwa kashifa ya ufisadi Richmoood na ESCROW watu walijuhudhuru sana sisi tulioipenda chadema tukajua tayari CCM tumeilegeza, cha ajabu 2015 sababu hii ya kuilegeza CCM ikawa ni sababu ya kuyadhohofisha mabadiliko ndani ya chadema kwa kuwarudisha wale tuliowasema siyo viongozi wazuri eti wawe viongozi wazuri kwa kubadilisha gia angani, hapa hata mwendawazimu alistuka sana, sioni ajabu Machali , Kafulila, Katambi, Mkumbo, Mgwira.

•Atleast one class is in the raise of economy that demand power and authority, tuliona watu wenye fedha zao wakitaka madaraka kwa nguvu ya pesa kama MZEE wa mvi, na kundi lao huku tukijua wazi pesa chafu ikitumika vibaya inahatarisha usalama wa nchi ,rais Magufuli amewazibidi watu wa namna hii sasa hakuna mjinga atatumia pesa hovyo akijua akishinda uchaguzi atazirudisha hiyo imekula kwao naamini uchaguzi wa 2020 utakuwa wa adabu watu hawatadeki lami eti anapita mgombea, pesa itatumika katika misingi muhimu sana, sasa hivi tunaona watu wanaenda mahakamani kwa ufisadi mkubwa, hongera rais kuzima mapinduzi .

•Crisis hii ni vurugu halalishi kama vile maandamano, ulivyosema wewe hujaribiwi ulimaanisha ukweli na ulisema kama wanaandamana watangulie viongozi wa chadema wakafyta mkia , kule KIBITI napo ulipadhibiti vizuri sana mimi nasema Tanzania kuna bongo hakuna kondoo.

MWISHO;MIMI NASHUKUKURU SANA KUKUUNGA MKONO 2015 NIKIWA BUKOMBE BILA KUJALI UTASHINDA AU HUTASHINDA, NA JIMBO LA BUKOMBE LIKARUDI CCM HUKU CHADEMA KUPOTEZA VITI VYOTE VYA UDIWANI 3 NAKUBAKIZA KIMOJA KATI YA KATA 17, LEO CHADEMA MNAJINASIBU MNAFANYA SIASA,?IPI?LEO RAIS WATU WATAJITOKEZA WENGI SANA KUKUUNGA MKONO LAKINI PIA USISITE KUTUTUMIA TULIOHAMIA CCM 2015 UKIONA INAPENDEZA NA INAFAA KWA UTASHI WAKO, SIASA NI MAISHA NA LAZIMA TUIJENGE NCHI YETU KWA MAARIFA YOTE NA TUSEME UKWELI,

•SHUKRANI YA DHATI SANA KWA AMANI MWENEGHOHA KUNIRUDISHA CCM, MUNGU AKUPE AFYA NJEMA SANA MAANA ULILETA USHIDI MKUBWA SANA BUKOMBE, BUKOMBE ILIKUWA NA HISTORIA 2010 KIKWETE KUZOMEWA LAKINI WEWE ULIHAKIKISHA MGOMBEA WA CCM HAZOMEWI KUMBUKA KUMUOMBA MUNGU SANA KAMA UTAUSOMA HUU UZI, SHUKRANI YA PUNDA NI MATEKE.

•CHAPA KAZI MUHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI NINAPOKUONA INATOSHA KATIKA MOYO WANGU.

4ba94792303ac68f3f335733929b2076.jpg
Tangu umeihama cdM umepata nini? You're nonsense
 
Back
Top Bottom