Rais awamu ya Tano atatoka CCM

Rais awamu ya Tano atatoka CCM

CCM kwisha.jpg
 
Hivi ndani ya UKAWA kuna mtu ana hadhi kweli ya kuwa Rais wa nchi?


Sio tu ndani ya UKAWA,hakuna mtu wa aina hiyo ndani ya nchi yote.Na kama ishu ni kuwa na rais tu, basi hata Mkinga Lenatus anaweza na hata ndani ya vyama vyote.
 
Ni Ukweli mchungu na usiopingika kwa namna yoyote kwamba mrithi wa jakaya kikwete ni mwanaCCM kindaki ndaki.
Hii inatokana na hali halisi kwamba CCM ina hazina kubwa ya viongozi waliopikwa na kuandaliwa kwa muda mrefu tangu utotoni mwao na sasa wako tayari kubeba jukumu zoto la kuwatumikia watanzania.

CCM NI TOFAUTI NA VYAMA VYA UPINZANI AMBAVYO VIMEJENGEKA VIZURI SANA JUU LAKINI UKISHUKA KATIKA NGAZI YA MKOA WILAYA NA VIJIJINI HAKUNA WATU. VYAMA VYA UPINZANI NI VYA WENYEVITI TU. Mbaya zaidi haviishi migororo ya kugombea madaraka na vyeo.

CCM ni lulu. HUTAKI UNAACHA

Mkuu sikubaliani na wewe,hivi umepita huku mitaani kwetu?chama chetu kila hali mbaya sana,labda upepo ubadilike.
UKAWA wanatupumulia kisogoni,
 
Ni kweli wameandaliwa toka utotoni kwa wizi,rushwa,ufisadi,unafiki na uongo. Pia wameandaliwa toka utotoni kuiba kura katika chaguzi na kutangaza washindi walioshindwa. CCM ni chama imara barani afrika kwa ufisadi na majizi sugu
 
Ni Ukweli mchungu na usiopingika kwa namna yoyote kwamba mrithi wa jakaya kikwete ni mwanaCCM kindaki ndaki.Hii inatokana na hali halisi kwamba CCM ina hazina kubwa ya viongozi waliopikwa na kuandaliwa kwa muda mrefu tangu utotoni mwao na sasa wako tayari kubeba jukumu zoto la kuwatumikia watanzania. CCM NI TOFAUTI NA VYAMA VYA UPINZANI AMBAVYO VIMEJENGEKA VIZURI SANA JUU LAKINI UKISHUKA KATIKA NGAZI YA MKOA WILAYA NA VIJIJINI HAKUNA WATU. VYAMA VYA UPINZANI NI VYA WENYEVITI TU. Mbaya zaidi haviishi migororo ya kugombea madaraka na vyeo. CCM ni lulu. HUTAKI UNAACHA
Gongo zingine bhana, shida. Tuambie nani kapikwa ili awe kiongozi ndani ya CCM. Huko kuna wafanya biashara siyo viongozi. Take note!
 
Sipendi siasa za kwenye mtandao kwa sababu kuna lundo la wajinga wengi , ambao akili zao haziwezi kufikiri vizuri, uongozi hauji kwa mtu kwa namna hiyo unayoweza kufikiri, aliyepo unataka kusema ana hadhi kupita watanzania wengi ?
 
Ni Ukweli mchungu na usiopingika kwa namna yoyote kwamba mrithi wa jakaya kikwete ni mwanaCCM kindaki ndaki.
Hii inatokana na hali halisi kwamba CCM ina hazina kubwa ya viongozi waliopikwa na kuandaliwa kwa muda mrefu tangu utotoni mwao na sasa wako tayari kubeba jukumu zoto la kuwatumikia watanzania.

CCM NI TOFAUTI NA VYAMA VYA UPINZANI AMBAVYO VIMEJENGEKA VIZURI SANA JUU LAKINI UKISHUKA KATIKA NGAZI YA MKOA WILAYA NA VIJIJINI HAKUNA WATU. VYAMA VYA UPINZANI NI VYA WENYEVITI TU. Mbaya zaidi haviishi migororo ya kugombea madaraka na vyeo.

CCM ni lulu. HUTAKI UNAACHA

Wewe ni CCM maslahi tu huwezi ukawashinda wenye CCM yao ambao walishasema kuwa ndani ya CCM hakuna hata mtu mmoja msafi anayefaa kuwa rais.

Mungu ataendelea kuwapiga upofu hivihivi ili muendelee kuamini kuwa CCM iko hai wakati ilisha kufa zamani.
 
ni ukweli mchungu na usiopingika kwa namna yoyote kwamba mrithi wa jakaya kikwete ni mwanaccm kindaki ndaki.
Hii inatokana na hali halisi kwamba ccm ina hazina kubwa ya viongozi waliopikwa na kuandaliwa kwa muda mrefu tangu utotoni mwao na sasa wako tayari kubeba jukumu zoto la kuwatumikia watanzania.

Ccm ni tofauti na vyama vya upinzani ambavyo vimejengeka vizuri sana juu lakini ukishuka katika ngazi ya mkoa wilaya na vijijini hakuna watu. Vyama vya upinzani ni vya wenyeviti tu. Mbaya zaidi haviishi migororo ya kugombea madaraka na vyeo.

Ccm ni lulu. Hutaki unaacha
..tutawavurumisha tu,mbona kata yetu ccm bye bye,je kwenu?....wavurumisheni.
 
Ni Ukweli mchungu na usiopingika kwa namna yoyote kwamba mrithi wa jakaya kikwete ni mwanaCCM kindaki ndaki.
Hii inatokana na hali halisi kwamba CCM ina hazina kubwa ya viongozi waliopikwa na kuandaliwa kwa muda mrefu tangu utotoni mwao na sasa wako tayari kubeba jukumu zoto la kuwatumikia watanzania.

CCM NI TOFAUTI NA VYAMA VYA UPINZANI AMBAVYO VIMEJENGEKA VIZURI SANA JUU LAKINI UKISHUKA KATIKA NGAZI YA MKOA WILAYA NA VIJIJINI HAKUNA WATU. VYAMA VYA UPINZANI NI VYA WENYEVITI TU. Mbaya zaidi haviishi migororo ya kugombea madaraka na vyeo.

CCM ni lulu. HUTAKI UNAACHA

Vyama vya upinzani vinapambana ili kuiondoa CCM madarakani,TANU na ASP ambayo ni CCM ya sasa vilipambana na kumuondoa mkolonu.Je TANU na ASP walipokuwa wanapambana na mkoloni na hatimae wakamuondoa walikuwa na hazina ya viongozi kiasi gani?.
 
ccm ina hazina ya viongozi wezi, wabadhilifu, mafisadi na wababaishaji. cku zao zinahesabika!
 
Back
Top Bottom