hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
Ni Ukweli mchungu na usiopingika kwa namna yoyote kwamba mrithi wa jakaya kikwete ni mwanaCCM kindaki ndaki.
Hii inatokana na hali halisi kwamba CCM ina hazina kubwa ya viongozi waliopikwa na kuandaliwa kwa muda mrefu tangu utotoni mwao na sasa wako tayari kubeba jukumu zoto la kuwatumikia watanzania.
CCM NI TOFAUTI NA VYAMA VYA UPINZANI AMBAVYO VIMEJENGEKA VIZURI SANA JUU LAKINI UKISHUKA KATIKA NGAZI YA MKOA WILAYA NA VIJIJINI HAKUNA WATU. VYAMA VYA UPINZANI NI VYA WENYEVITI TU. Mbaya zaidi haviishi migororo ya kugombea madaraka na vyeo.
CCM ni lulu. HUTAKI UNAACHA
Hii inatokana na hali halisi kwamba CCM ina hazina kubwa ya viongozi waliopikwa na kuandaliwa kwa muda mrefu tangu utotoni mwao na sasa wako tayari kubeba jukumu zoto la kuwatumikia watanzania.
CCM NI TOFAUTI NA VYAMA VYA UPINZANI AMBAVYO VIMEJENGEKA VIZURI SANA JUU LAKINI UKISHUKA KATIKA NGAZI YA MKOA WILAYA NA VIJIJINI HAKUNA WATU. VYAMA VYA UPINZANI NI VYA WENYEVITI TU. Mbaya zaidi haviishi migororo ya kugombea madaraka na vyeo.
CCM ni lulu. HUTAKI UNAACHA