Rais awamu ya Tano atatoka CCM

Rais awamu ya Tano atatoka CCM

hugochavez

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
1,907
Reaction score
1,009
Ni Ukweli mchungu na usiopingika kwa namna yoyote kwamba mrithi wa jakaya kikwete ni mwanaCCM kindaki ndaki.
Hii inatokana na hali halisi kwamba CCM ina hazina kubwa ya viongozi waliopikwa na kuandaliwa kwa muda mrefu tangu utotoni mwao na sasa wako tayari kubeba jukumu zoto la kuwatumikia watanzania.

CCM NI TOFAUTI NA VYAMA VYA UPINZANI AMBAVYO VIMEJENGEKA VIZURI SANA JUU LAKINI UKISHUKA KATIKA NGAZI YA MKOA WILAYA NA VIJIJINI HAKUNA WATU. VYAMA VYA UPINZANI NI VYA WENYEVITI TU. Mbaya zaidi haviishi migororo ya kugombea madaraka na vyeo.

CCM ni lulu. HUTAKI UNAACHA
 
Ni Ukweli mchungu na usiopingika kwa namna yoyote kwamba mrithi wa jakaya kikwete ni mwanaCCM kindaki ndaki.
Hii inatokana na hali halisi kwamba CCM ina hazina kubwa ya viongozi waliopikwa na kuandaliwa kwa muda mrefu tangu utotoni mwao na sasa wako tayari kubeba jukumu zoto la kuwatumikia watanzania.

CCM NI TOFAUTI NA VYAMA VYA UPINZANI AMBAVYO VIMEJENGEKA VIZURI SANA JUU LAKINI UKISHUKA KATIKA NGAZI YA MKOA WILAYA NA VIJIJINI HAKUNA WATU. VYAMA VYA UPINZANI NI VYA WENYEVITI TU. Mbaya zaidi haviishi migororo ya kugombea madaraka na vyeo.

CCM ni lulu

kama ccm ni lulu lazima bwana ake awe komba mzee wa msituni
 
CCM ni ukoo wa panya walioandaliwa kwa ufisadi na sio viongozi wenye uadilifu na kujali wananchi wanaowapa dhamana ya kuongoza.
 
ni kweli kabisa. ukawa ni walafi wa madaraka na wachumia tumbo
 
CCM ni ukoo wa panya walioandaliwa kwa ufisadi na sio viongozi wenye uadilifu na kujali wananchi wanaowapa dhamana ya kuongoza.
mbowe ni fisadi. anakwapua ruzuku ya chadema anaenda kununua majumba dubai
 
CCM itaendelea kutoa rais siyo mwaka huu tu , bali hata uchaguzi wa 2020. Wapinzani hawa propaganda zao zisizo na tija kwa wananchi hawana lolote.
 
Ufinyu wa kufikiri ni ugonjwa mbaya hasa pale ambapo elimu na uzoefu havijaweza kumkomboa binadamu kutoka katika kutawaliwa kifikra. Ubakaji wa katiba mpya unajidhihirisha tena hapa kwa baadhi ya waTZ kushindwa kuona lengo la ccm kutupilia mbali rasimu ya mh. Warioba, tunataka wanasiasa watenganishwe na watendaji serikalini halafu wewe unatuletea habari za mafisadi waliopikwa na kuandaliwa! Kumbuka hatuko kwenye era ya kina Kinjeketile, Mwanamalundi and the likes.
Kuna watanzania wengi wenye uwezo wa kuongoza kuliko hao unaowaabudu, wape nafasi ya ku-contest sio kuteuliwa.
 
Wameandaliwa na nani? Ni watoto wa akina nani? Mbona hamuandai watoto wa maskini? Hii sio nchi ya utawala wa kifalme, sasa tusubiri, wanaochagua viongozi ni wananchi



kama ccm inajiamini iache tu kutumia hila,jib utalipata maana hutendei haki akili yako
 
Ccm lazima iwepo kwani wanatumia kila mbinu kubaki madarakani, na si wanakuwepo kwa sababu wanapendwa, not at all.
 
...hv uchizi huwa unasababishwaga na nini?ni 1/bhangi na gongo. 2/kurogwa 3/ni kuvurugika kwa ubongo! na hatimaye kupelekea mtu kuwa zuzu na kutojua maisha ya vijukuu vyake vitaishije
 
Hivi ndani ya UKAWA kuna mtu ana hadhi kweli ya kuwa Rais wa nchi?

Hakuna Mtanzania ye yote atakayeshindwa kuwa rais baada ya huyu anayemaliza ngwe yake kuurahisisha urais na hivyo kila mtu kujiona anafaa. Imagine mtu hajawahi kuwa waziri lakini unaibu waziri tu unamfanya atamani urais. Mwingine ni mbunge tu na wala hajawahi hata kuwa waziri mdogo, naye ametangaza nia. Kama.anayemaliza ngwe yake ameweza, basi hakuna Mtanzania atakayeshindwa. Hivi wewe mbona unadharau za kipuuzi? Huoni mwenye hadhi ya urais Ukawa? Bila shaka kigezo chako ni sura. Sisi tunataka mwenye uwezo wa kutuletea mabadiliko kwani hatuna nia ya kupiga picha na rais.
 
Back
Top Bottom