Rais atawaeleza nini vijana waliomaliza vyuo vikuu tangu mwaka 2016 mpaka sasa wakakosa ajira?

Mr Nyau

JF-Expert Member
Oct 18, 2018
1,127
2,335
Kumekuwepo na ongezeko kubwa sana mtaani wa wahitimu wa vyuo vikuu mbalimbali katika kada mbalimbali ualimu, uhasibu, uhandisi na taaluma nyingi nyingi kukosa ajira.. tofauti na kipindi kilichopita cha awamu ya Kikwete.. hii inasababisha vijana wengi kukata tamaa na kuona hakuna umuhimu tena wa kuwa na elimu kubwa uliyoipata kwa miongozi yao..

Kujiajiri pia kumekuwapo na changamoto nyingi sana ... nawaza mwaka 2020 atawaambia nini vijana hawa wengi ni watoto wa masikini ingawa mpaka sasa kuna wengi pia wapo vyuoni wanafurahia uwepo wa boom lakini hawajui maisha baada ya chuo.. na kama akiendeleaampaka 2025 ongezeko kubwa mtaani la wahitimu wasiokuwa na ajira litakuwa kubwa sana na thamani ya elimu itashuka sana nawaza 2020 atawaambia nini wahitimu hawa??

1547293516507.png
1547293516507.png
 
Kumekuepo na ongezeko kubwa sana hawa wahitimu wa vyuo vikuu mbalimbali katika kada mbalimbali ualimu,uhasibu, uinjinia na taaluma nyingi nyingi kukosa ajira. Tofauti na kipindi kilichopita cha awamu ya JK. Hii inasababisha vijana wengi kukata tamaa na kuona hakuna umuhimu tena wa kuwa na elimu kubwa uliyoipata kwa miongozi yao..

Kujiajiri pia kumekuapo na changamoto nyingi sana. Nawaza mwaka 2020 atawaambia nini vijana hawa wengi ni watoto wa masikini ingawa mpaka sasa kuna wengi pia wapo vyuoni wanafurahia uwepo wa boom lakini hawajui maisha baada ya chuo.

Na kama akiendeleaampaka 2025 ongezeko kubwa mtaani la wahitimu wasiokuwa na ajira litakuwa kubwa sana na thamani ya elimu itashuka sana nawaza 2020 atawaambia nini wahitimu hawa?
 
tafadhari mods msiiufute uzi huu maana naona siku hizi jamiiforum kuna kitu imekiingilia nyuzi kama hizi zinafutwa wakati ni mihimu kujadiliwa.......

kumekuepo na ongezeko kubwa sana hawa wahitimu wa vyuo vikuu mbalimbali katika kada mbalimbali ualimu,uhasibu, uinjinia na taaluma nyingi nyingi kukosa ajira.. tofauti na kipindi kilichopita cha awamu ya JK.. hii inasababisha vijana wengi kukata tamaa na kuona hakuna umuhimu tena wa kuwa na elimu kubwa uliyoipata kwa miongozi yao..

kujiajiri pia kumekuapo na changamoto nyingi sana ... nawaza mwaka 2020 atawaambia nini vijana hawa wengi ni watoto wa masikini ingawa mpaka sasa kuna wengi pia wapo vyuoni wanafurahia uwepo wa boom lakini hawajui maisha baada ya chuo.. na kama akiendeleaampaka 2025 ongezeko kubwa mtaani la wahitimu wasiokuwa na ajira litakuwa kubwa sana na thamani ya elimu itashuka sana nawaza 2020 atawaambia nini wahitimu hawa??
 
tafadhari mods msiiufute uzi huu maana naona siku hizi jamiiforum kuna kitu imekiingilia nyuzi kama hizi zinafutwa wakati ni mihimu kujadiliwa.......

kumekuepo na ongezeko kubwa sana hawa wahitimu wa vyuo vikuu mbalimbali katika kada mbalimbali ualimu,uhasibu, uinjinia na taaluma nyingi nyingi kukosa ajira.. tofauti na kipindi kilichopita cha awamu ya JK.. hii inasababisha vijana wengi kukata tamaa na kuona hakuna umuhimu tena wa kuwa na elimu kubwa uliyoipata kwa miongozi yao..

kujiajiri pia kumekuapo na changamoto nyingi sana ... nawaza mwaka 2020 atawaambia nini vijana hawa wengi ni watoto wa masikini ingawa mpaka sasa kuna wengi pia wapo vyuoni wanafurahia uwepo wa boom lakini hawajui maisha baada ya chuo.. na kama akiendeleaampaka 2025 ongezeko kubwa mtaani la wahitimu wasiokuwa na ajira litakuwa kubwa sana na thamani ya elimu itashuka sana nawaza 2020 atawaambia nini wahitimu hawa??
Hakuna haja ya kusoma? Ama kweli kusoma sio kuelimika

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Mjiandae kupewa ajira mwaka 2020 mwanzoni ili mpige kura.

Tunazalisha kidogo kiliko mahitaji yetu.
Rais anapigana kupunguza kasi ya waajiriwa wengi wasiozalisha sawa na mahitaji yetu.

Ili wengine watafute sehemu za kuzalisha kuongeza uzalishaji sehemu nyingine na kupunguza matumizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjiandae kupewa ajira mwaka 2020 mwanzoni ili mpige kura.

Tunazalisha kidogo kiliko mahitaji yetu.
Rais anapigana kupunguza kasi ya waajiriwa wengi wasiozalisha sawa na mahitaji yetu.

Ili wengine watafute sehemu za kuzalisha kuongeza uzalishaji sehemu nyingine na kupunguza matumizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unataka mali utaipata shambani,
Jiongeze Ukalime, upambane na muda ukingali na nguvu, ajira ni tatizo la dunia, mfano mdogo ,Udahili wa wanafunzi wa vyuo vikuu Nchini kwa sasa ni idadi kubwa, wanaomaliza pia ni wengi, wanaostaafu ni wachache sana labda kufanya kazi za muda (kibarua)kwenye miradi mikubwa inayoendelea nchini, jambo ambalo wasomi wetu wengi hawako tayari.
Hii kasumba ya kuajiriwa tukifanikiwa kuiondoa vichwani tutapiga hatua kubwa mmoja mmoja na hatimae Taifa zima,
Kuna fedha kwenye Kilimo ni jina tu linatisha lakini maisha yako huko, mfano mdogo tu wa kuajiriwa, ukiwa na Nguvu kazini kuelekea kustaafu hofu inaanza nitaishije baada ya ajira kukoma, maana kwenye kilimo hakuna tai, kubrashi viatu ingawa vinafanyika maalum tofauti na Mwajiriwa, lakini maisha yasiyo na stress yako huku, huna wasiwasi wa Boss kukufokea au kusononeka kwa kuwa hujapanda cheo nk.
Ukiwa Mkulima na Ukawa na mifugo Kuku na mbuzi hukosi Fedha wakati wote tofauti na Mwajiriwa mwisho wa Mwezi na siku chache na kama ana matumizi mazuri, lakini Mkulima akipita tu Bandani si haba mayai ya kutoshelea Bia mbili pia hakosi, hata kununua Suti, Mbuzi wanne wanatosha Suti safi kabisa maisha yanaenda, mafuta ya gari ukipitia Miti 10 ya mipapai hapo tayari papai 30 zinatosha mizunguko yako ya mafuta, na una uwezo wa kulipa Bima ya afya ,Elimu Kujenga na kuanzisha miradi mingine, KILIMO KILIMO.
Wasalaam.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo wa kumbana ni yule aliyekupeleka shule kukuandikisha.
Wapi ulisaini mkataba na serikali kwamba ukimaliza chuo watakupa kazi?
Kama umemaliza chuo 2015,16 na 2017 lakini bado unalilia ajira basi kichwa chako kina tatizo kubwa la ubongo.
Afterall Magufuli needs not your vote to reign for the second phase.
Sorry if am out of topic.
 
Back
Top Bottom