Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,348
- 26,145
Rais wa Yemen anashikiliwa mateka na Waasi wa Hoath katika makazi ya Rais mjini Sana'a. Hali hiyo inafuatia mapambano makali kati ya majeshi ya Serikali na waasi wa Hoath.
Chanzo: DW Radio
Chanzo: DW Radio