Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,969
- 22,163
Kwa nchii masikini kama Tanzania tunahaha kupataa ambulance. Ya million 80-100 alafu chama kimoja kinapata zaidi ya mil 200+ HII n laana kubwa sana
Hatakama hizopesa zinatoka marekani MH Rais unamamboo mengi sana hiinchii iliaibika kwa kudanganywa unaitaji kuyarekebisha
Najuaa uweziyamaliza kwakati mmoja lakjni MH unaweza kuanza polepole tumeona ndege tumeona NA hizo reliyakati zinakuja...
NA nyie vyama msikubali kubeba laana za HII nchi...acheni pesa zawananchi zifanye maendeleo
Ifanyike research yamaana haraka kila chama kipewe ngapi kwa mwezi mpunguze haya mapesa kama tumeuA meno za tembo NA madawayakulevya ufillipino wamekomaa NA sisi tumsaidie Rais wapi pakupunguza tuone maendeleo
Hatakama hizopesa zinatoka marekani MH Rais unamamboo mengi sana hiinchii iliaibika kwa kudanganywa unaitaji kuyarekebisha
Najuaa uweziyamaliza kwakati mmoja lakjni MH unaweza kuanza polepole tumeona ndege tumeona NA hizo reliyakati zinakuja...
NA nyie vyama msikubali kubeba laana za HII nchi...acheni pesa zawananchi zifanye maendeleo
Ifanyike research yamaana haraka kila chama kipewe ngapi kwa mwezi mpunguze haya mapesa kama tumeuA meno za tembo NA madawayakulevya ufillipino wamekomaa NA sisi tumsaidie Rais wapi pakupunguza tuone maendeleo