Sababu anazozitoa Rais wetu huwa nashindwa kuzielewa.
Mfano wakati anazindua mradi wa mabasi yaendayo kasi akasema disadvantages za foleni ni kwamba inasababisha ndoa zivunjike.
What abot economy? Mweh! inaweza ikawa disadvantage moja wapo lakini ni very 'maina'
M/kiti wa CCM, Rais wa nchi amesema CCM haitakufa. Moja ya ishara ya uhai wa CCM, alitaja ni ‘wasomi' wanaogombea nafasi ndani ya CCM.
Shukrani hiyo inaonyesha wazi njaa ya wasomi ktk chama hiki tawala.
Nasubiri kuwaona hao wasomi ambao wanajiunga na CCM ni wa aina gani. Hisia zangu ni waalimu wa vyuo vikuu wanaokaribia kustaafu na wale wanaovizia kugombea ubunge mwaka 2015. Hawa hugombea ili wabahatishe uwaziri. CCM inawasahau vijana wanaomaliza vyuoni kwamba hao ndo wasomi muhimu ktk box la kura na ndiyo walio wengi.
Kwa mwenendo wa maoni tuyaonayo haionyeshi kama katiba yetu mpya itaruhusu mbunge kuwa waziri.
Namuomba Rais huyu pamoja na chama chake, wafurahie kuwaona wasomi wanaojiunga na CDM, CUF, TLP, n.k. Tatizo lao CCM wakiona hao wanaoitwa ‘wasomi' wakijiunga na vyama vingine, huwageukia na kuanza kuwanyanyasa ktk ajira.
wasomi mbona wapo wengi kama wakina Chenge lakini ni mafisadi wa kufa mtu
Wasomi anaowasema mkweree kuwa wameomba uongozi ni hao Sampuli ya wakina Mukama,Chiligati, Nape na yule mwehu wa Iramba nimesahau hata jina lake eeeeh anaitwa Mwigulu; kwa standard ya kisomo chake ambacho hakukiendeleza baada ya kupata degree ya pass UDSM, yeye hao ndio anaona wasomi!!
Wasomi anaowasema mkweree kuwa wameomba uongozi ni hao Sampuli ya wakina Mukama,Chiligati, Nape na yule mwehu wa Iramba nimesahau hata jina lake eeeeh anaitwa Mwigulu; kwa standard ya kisomo chake ambacho hakukiendeleza baada ya kupata degree ya pass UDSM, yeye hao ndio anaona wasomi!!
Naona Mwigulu alikuonyesha vyakwake Mkiwa chumbanihivi tuache majungu,wewe na nchemba nani kapiga shule?CV yake na yako ya nani inauza?una first class wewe?acheni kuropoka tu mnyonge mnyogeni haki yake mpeni bwana swala la shule ni vyeti baba sio maneno mengi toa vyako tuone kama hatujakuta hata credit za kuingiz form v ulikosa
kila mtu na criteria na indicators za kupima kile anachoamini kua ni maendeleo cha msingi ni procedure ku arrive kwenye hiyo justification,kwa kusikia tu alichosema kwe tv haikupi data za kutosha ku disqualify alichosema JK,ni ushabik,biasiness na unazi vya kuamsha mijadala isio na tija,i hate ths nonses mbona hamna akili
Sababu anazozitoa Rais wetu huwa nashindwa kuzielewa.
Mfano wakati anazindua mradi wa mabasi yaendayo kasi akasema disadvantages za foleni ni kwamba inasababisha ndoa zivunjike.
What abot economy? Mweh! inaweza ikawa disadvantage moja wapo lakini ni very 'maina'
Naona Mwigulu alikuonyesha vyakwake Mkiwa chumbani
hivi tuache majungu,wewe na nchemba nani kapiga shule?CV yake na yako ya nani inauza?una first class wewe?acheni kuropoka tu mnyonge mnyogeni haki yake mpeni bwana swala la shule ni vyeti baba sio maneno mengi toa vyako tuone kama hatujakuta hata credit za kuingiz form v ulikosa
usikimbilie kejeli na kuuacha ukweli,hebu tafakari kwa kina kwa elimu ulionayo na vyeti vyako una qualify kuhoji usomi wa Mwigulu?haaa haaa haaa najua jibu ni no kilaza wewe katafute credit
hivi tuache majungu,wewe na nchemba nani kapiga shule?CV yake na yako ya nani inauza?una first class wewe?acheni kuropoka tu mnyonge mnyogeni haki yake mpeni bwana swala la shule ni vyeti baba sio maneno mengi toa vyako tuone kama hatujakuta hata credit za kuingiz form v ulikosa
Naona wewe ni secretary wake, vip leo upo ofisini unatype barua zake nini dada fergusonema ?usikimbilie kejeli na kuuacha ukweli,hebu tafakari kwa kina kwa elimu ulionayo na vyeti vyako una qualify kuhoji usomi wa Mwigulu?haaa haaa haaa najua jibu ni no kilaza wewe katafute credit
Elimu niliyokuwa nayo mimi hata muunganishe vyeti vyenu vya ukoo wako na wa Mwigulu hamuwezi kuona ndani!!! Mwenzio nilianzia na First class ya Cambridge Cert. ya point 12 [ anbayo sidhani kama unaelewa maana yake] na nimemalizia elimu yangu kwa kufanya Post Doctoral studies, hopefully utaelewa nilichoandika kwani naona kama wewe umeishia secondary ya kata!!
Naona wewe ni secretary wake, vip leo upo ofisini unatype barua zake nini dada fergusonema ?
Kama ni rais basi tunaye kwelikweli!!!!!Sababu anazozitoa Rais wetu huwa nashindwa kuzielewa.
Mfano wakati anazindua mradi wa mabasi yaendayo kasi akasema disadvantages za foleni ni kwamba inasababisha ndoa zivunjike.
'