ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,557 Jul 12, 2011 #21 mkuu mbona mi naona atakuwa ni zitto kwani alienda na mkuu wa kaya kupata exposure kule sudan kusini..
mkuu mbona mi naona atakuwa ni zitto kwani alienda na mkuu wa kaya kupata exposure kule sudan kusini..
Laurence JF-Expert Member Jun 11, 2011 3,104 420 Jul 12, 2011 #22 Mpaka sasa mimi huyu ndie Rais wangu ninaemjua wala hili halina mjadala.
Shinto JF-Expert Member Dec 6, 2010 1,781 96 Jul 12, 2011 #23 Tuondolee hiyo takataka! Kama wewe unamkubali mwambie aje awe rais wa nyumbani kwako!
C chimwaga Member Jul 12, 2011 19 1 Jul 12, 2011 #24 kwa kweli na kubaliana na mada hakika ina bidi tu shirikiane wote ku hakikisha tuna mpa nchi hii Dr Slaa coz ndio kiongozi muadilifu pekeee aliye bakia katita ki zazi hiki.
kwa kweli na kubaliana na mada hakika ina bidi tu shirikiane wote ku hakikisha tuna mpa nchi hii Dr Slaa coz ndio kiongozi muadilifu pekeee aliye bakia katita ki zazi hiki.