Rainfred Masako na Yahya wa Star tv

Kura za mwanzo CDM Masako alionesha uchangamfu sana hadi akasema watu wamechoka kudanganywa, vijana wanataka mabadiliko hawaogopi dola na vitisho. Ufoo Saro ndo alikuwa wa kwanza kutuma matokeo ambayo ccm inaongoza. Mzee Masako aliishiwa nguvu hadi nilikahisi atatiwa kibano

Haikupita muda akawa anatangaza matokeo amepanic, na kuchanganya matokeo. Nahisi simu ilipigwa studio, na mMsimamizi wa matangazo akawa amemuagiza afagilie ccm kuliko CDM

Kama uliangalia matangazo yake tangu awali jana utamtendea haki Masako

Kumbe tunatofautina sana. Masako mi nilimwona kabisa kaegemea CDM. Ufoo Saro hakuwa wa kwanza kutangaza matoke yaliyoonesha CCM kushinda.
 
Masako alisisitiza kura za ccm ili zijulikane ili wasije chakachua.yuko fair sana.kumbuka 2010 alitanga marehem regia kushnda ccm wakata mtoa roho.badae alibadili kauli walivyoiba. Ata midaharo yake hapend usanii ya ijumaa kipima joto.big up masako viva chadema. Yahaya ni mzuri but is locked by his boss.bos ni kada na alinyukwa ilemera
 
Acha uongo. Masako alikuwa fair. Tena kama mtu ni kada wa CCM unaweza sema aliegemea CDM.
Ni kweli kabisaaa hakuegemea ccm, tena niliona alikuwa karibu anashindwa kujizuia kwa kuficha shauku yake cdm ilipotangazwa kushindwa kwenye kata fulani.

Kwa hili watu tuache roho mbaya na kukaririri
 
yahaya ni chadema damu'yaani pale alikuwa na mahasira ya kuibiwa kura'hata masako ni chadema piga ua'ile kazi wanayofanya siyo nyepesi kama mnavyofikiri'jifunzeni kusoma watu

Kweli nakuunga mkono. Me nimeangalia kila hatua ya utangazaji hasa wa masako. ukiwa makini unamuona kabisa kuwa ni CDM. angalia mtu usoni bana ... mbona ilikuwa wazi.. na hata kuna kipindi akawa anarudia kusema safari hii ulinzi wa kura umekuwa mkalisa hadi hotpot zinakaguliwa... na hata akasema vijana waliambiwa wakae mita mia na vijana wakasema nini mia sie tunakaa mita 200 kabisa lakini hatutoki....so all these statments na body language unajua yuko upande gani...
 
Maoni yangu kwa wanahabari wote, waliotajwa hapa na wasiotajwa wote wabadilike. Na sisi wana JF pia tubadilike, tusitake kulazimisha watu kuwa wanachama wa vyama vyetu. Kuwa CCm au CDM ni uhuru wa mtu, lakini kwa wote hawa ku support mabadiliko ni lazima, WABADILIKE SASA HIVI! Hatuhitaji kujua chama cha mtu, tunahitaji wanaharakati wa MABADILIKO hata kama wako CCM. Kimsingi tunahitaji mashushushu wa mabadiliko walioko CCM, hawa ndio watatusaidia kubaini na kudhibiti wizi wa kura na kukamata masanduku ya kura kwenye mipaka ya Tunduma n.k.

By the way, kila mtu anapenda kulinda kibarua chake, wanahabari walioenda shule washike nidhamu ya kazi zao. Kuna wengine kama wa kule Clouds hawajaenda shule, naongea na wale walioenda shule.
 
Hi gt wote,mda mwingi nimekuwa mpitaji tu humu,bt hii m4c cjaelewa,naomben ufafanuzi plz
 
hata mie jana jioni Masako aliniboa nikaachana kabisa na ITV, alikuwa anaweka kibesi kabisa pale CCM wakiwa wapo juu, mtangazaji anatakiwa awe neutral sio mpaka watu wakasirike

jaman masako ana'ubia na chama,alishawah kugombea ubunge huko moro,wakamtoa kwenye kura za maoni-ccm
 
Ah, watu banaj, kweli huwezi kuridhisha kila mtu. mm kwa upande wangu, walikuwa fair sana mpaka nikajiuliza aa hv hawa jamaa ni cdm nn? tatizo la watu tunakuwa na ushabiki mno tunashindwa kuwa na fair and unbiased judgement. wako poa bana usiwaharibi cv
 
Masako aligombea kura ZA MAONI CCM ULANGA-MOROGORO akashindwa, amerejesha kadi?
yahaya ni chadema damu'yaani pale alikuwa na mahasira ya kuibiwa kura'hata masako ni chadema piga ua'ile kazi wanayofanya siyo nyepesi kama mnavyofikiri'jifunzeni kusoma watu
 
Back
Top Bottom