Siasa za Afrika mashariki hususani Kenya na Tanzania ni tofauti sana na nchi nyingine afrika, mwaka 2002, aliyeitwa profesa wa siasa za Kenya Mzee Daniel Arap Moi alishuhudia anguko kubwa la KANU baada ya kukaidi aliyoelezwa na watu wake kuwa mgombea anayemtaka ambaye sasa ni rais wa kenya Uhuru kenyata asingeweza kushinda maana by that time hauziki.
Team iliyoongozwa na Raila odinga iliweza kufanya kile ambacho wengi hawakuelewa maana yake , kwa nini waliamaua kumpa urais Mwai kibaki mshirika wa karibu wa MOI? swala halikuwa kujenga Kenya mpya swala lilikuwa kuhakikisha kwanza KANU inakufa mengine baadaye, Mwaka 1992 Kenya ilishuhudia uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi ambapo KANU iliviaangusha vibaya vyama vya upinzani, Raila Odinga kwa kugundua hilo baadaye kabisa aliaamua kuunganisha chama chake na KANU na kikaundwa chama kilichojulikana kama Newa KANU na Raila akiwa Executive secretary wa New KANU ambapo alisaidia sana kuisamabaratisha KANU.
Hapa Tanzania baada ya miaka 20+ ya vyama vingi dalili za kuitoa ccm madarakani, sasa naona Dalili za CCM kufa zimefika, RAILA wa Tanzania atakuwa ni ndugu Edward Ngoyai Lowasa, niko tofauti sana na wanaobeza lowasa kujiunga upinzani, miaka hii mitano tusitafute Rais wa maendeleo, kama tumevumilia miaka 50 bila maendeleo na maisha magumu kwa nini tusivumilie hii miaka mitano?
Rais ajaye kutoka upinzani awe ni special kwa kuvunja CCM na mabaki yake mpaka alama za CCM zisiwepo nchini, baada ya hapo, tuchague basi rais wa maendeleo.
Nahitimisha kwa kusema karibu Edward Lowasa CHADEMA ututoleee huu uchafu unaoitwa CCM Tanzania.
Team iliyoongozwa na Raila odinga iliweza kufanya kile ambacho wengi hawakuelewa maana yake , kwa nini waliamaua kumpa urais Mwai kibaki mshirika wa karibu wa MOI? swala halikuwa kujenga Kenya mpya swala lilikuwa kuhakikisha kwanza KANU inakufa mengine baadaye, Mwaka 1992 Kenya ilishuhudia uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi ambapo KANU iliviaangusha vibaya vyama vya upinzani, Raila Odinga kwa kugundua hilo baadaye kabisa aliaamua kuunganisha chama chake na KANU na kikaundwa chama kilichojulikana kama Newa KANU na Raila akiwa Executive secretary wa New KANU ambapo alisaidia sana kuisamabaratisha KANU.
Hapa Tanzania baada ya miaka 20+ ya vyama vingi dalili za kuitoa ccm madarakani, sasa naona Dalili za CCM kufa zimefika, RAILA wa Tanzania atakuwa ni ndugu Edward Ngoyai Lowasa, niko tofauti sana na wanaobeza lowasa kujiunga upinzani, miaka hii mitano tusitafute Rais wa maendeleo, kama tumevumilia miaka 50 bila maendeleo na maisha magumu kwa nini tusivumilie hii miaka mitano?
Rais ajaye kutoka upinzani awe ni special kwa kuvunja CCM na mabaki yake mpaka alama za CCM zisiwepo nchini, baada ya hapo, tuchague basi rais wa maendeleo.
Nahitimisha kwa kusema karibu Edward Lowasa CHADEMA ututoleee huu uchafu unaoitwa CCM Tanzania.