Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Jana baada ya Viongozi waandamizi wa NASA kushindwa kuhudhuria kuapishwa kwa Raila Odinga imedhihirika wazi walifanya hivyo kwa makusudi..
Akiongea na vyombo vya habari mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi nchini Kenya Fred Atwoli amemuita Kalonzo Musyoka msaliti mkubwa. Kalonzo alikuwa aapishwe kuwa Makamu wa Raila lakini alishindwa kuhudhuria hafla hiyo.
Akiongea na vyombo vya habari mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi nchini Kenya Fred Atwoli amemuita Kalonzo Musyoka msaliti mkubwa. Kalonzo alikuwa aapishwe kuwa Makamu wa Raila lakini alishindwa kuhudhuria hafla hiyo.