Raila Amollo Odinga atashinda uchaguzi mwaka huu na kuwa rais wa Kenya

Varius

JF-Expert Member
Apr 2, 2017
644
503
Si mfuatiliaji sana wa siasa za Kenya lakini nadiriki kusema kuwa RAILA AMOLLO ODINGA atashinda urais mwaka huu, Uhuru Kenyatta kwisha hawezi shindana na kile kichwa ana mbinu amejipanga sana.

Jambo lingine linaloashiria kabisa kwamba RAO atashinda ni hiki chama kilichoanzishwa cha CCM yani CHAMA CHA MASHINANI.

Kama wewe ni mtu makini kabisa unaweza ona kabisa kwamba yawezekana RAILA AMOLLO ODINGA na NASA yawezekana wakawa backed up na CCM ya TANZANIA. This is my bet guys but lets wait time will tell.
 
Wewe siasa za Kenya hujui lolote na ndio umeanza kufuatilia leo. Hizi teams zilishakutana mwanzo tena Kenyatta na Ruto wakiwa na kashfa kubwa na hawakuwa na experience kama RAO wakamchapa first round na kuushangaza ulimwengu.

Leo hii RAO hana jipya lolote la kuwaambia Wakenya zaidi ya kutegemea weakness za UHURUTO mbaya zaidi Uhuru na mwenzie this time wako better off wamefanya makubwa na yanaonekana. And don't forget ni ngumu sana Africa kumunseat Rais aliyeko madarakani na pia kuna war-factor ambayo hubind taifa na uongozi kupita maelezo.

Had they stood the chance, it was in the last elections
 
Hicho hakitakaa kitokee

Kenya huwa ni ishu ya makabila yapi yako upande wako
 
Jaluo kushinda urais kenya ni ngumu sana kama ccm ya Magufuli kutoa ajira!! Kura za Waluhya amezikosa na siasa za Kenya bila ukabila hutobozi! Kikuyu + Kalenjin ni muunganiko mkubwa mno huo ambao Waluo hawawezi kuungasha!! Hivyo baki na ndoto yako!!
 
mtoa mada kidogo umekosea..huyu anaejulikana kama raila hana lolote..viashiria vyote vinaelekeza kusini yaani hata iweje hawezi ibuka
 
ndio, Raila sasa ana team kali ambayo inaweza kumtoa Uhuru Kenyatta madarakani ila ni ngumu mno....Uhuru na Ruto wana backing ya two of the biggest tribes in Kenya...na mara nyingi siasa za huku huwa za kikabila...ni jambo la kusikitisha ila ni ukweli...elections za 2017 huwezi ukasema ni nani atashinda mamlaka pengine uwe prophet...not even the best political analysts can see it....hii ni 50/50 this time around...only time will tell...
 
ndio, Raila sasa ana team kali ambayo inaweza kumtoa Uhuru Kenyatta madarakani ila ni ngumu mno....Uhuru na Ruto wana backing ya two of the biggest tribes in Kenya...na mara nyingi siasa za huku huwa za kikabila...ni jambo la kusikitisha ila ni ukweli...elections za 2017 huwezi ukasema ni nani atashinda mamlaka pengine uwe prophet...not even the best political analysts can see it....hii ni 50/50 this time around...only time will tell...

Kura za Waluhya za Musalia zitaweza kumnyanyua Raila kwa kiasi gani?
 
Kura za Waluhya za Musalia zitaweza kumnyanyua Raila kwa kiasi gani?
zitamsaidia kwa idadi kubwa kwa sababu waluyha pia ni wengi sana...wako nambari tatu after Kikuyu and Kalenjin....the problem however, is that the Luyhas are divided.most of them said that they will not vote if Musalia Mudavadi (Luyha leader) is not declared the NASA flagbearer...
 
zitamsaidia kwa idadi kubwa kwa sababu waluyha pia ni wengi sana...wako nambari tatu after Kikuyu and Kalenjin....the problem however, is that the Luyhas are divided.most of them said that they will not vote if Musalia Mudavadi (Luyha leader) is not declared the NASA flagbearer...

Isaac Ruto naye ana ushawishi kiasi gani kwa Wakalenjin wenzake? Waluhya nasikia huwa ni vigeugeu na siku zote hawatabiriki.
 
Isaac Ruto naye ana ushawishi kiasi gani kwa Wakalenjin wenzake? Waluhya nasikia huwa ni vigeugeu na siku zote hawatabiriki.
Isaac Ruto ushawishi wake mdogo sana kule Rift Valley ukilinganisha na huyu jamaa aitwaye William Ruto...however, NASA wants every single vote they can get and therefore Isaac Ruto will help the NASA coalition...
 
ndio, Raila sasa ana team kali ambayo inaweza kumtoa Uhuru Kenyatta madarakani ila ni ngumu mno....Uhuru na Ruto wana backing ya two of the biggest tribes in Kenya...na mara nyingi siasa za huku huwa za kikabila...ni jambo la kusikitisha ila ni ukweli...elections za 2017 huwezi ukasema ni nani atashinda mamlaka pengine uwe prophet...not even the best political analysts can see it....hii ni 50/50 this time around...only time will tell...
Dah! Inaonesha siasa za Kenya hazitabiriki! Nimejifunza kitu kwenye hoja zako...
 
Ajiandae tu kwenda likizo ya siasa Chato kupumzika kwa mwenzake.

Asihofu Chato international Airport itakuwa tayari.
 
Back
Top Bottom