Raia wa Gaza sasa akili zimerudi

Raia wa Gaza sasa akili zimerudi

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
18,465
Reaction score
27,064
Raia wa Gaza sasa akili zimerudi

Waikataa Hamas lakini Hamas wamewamininia risasi waandamanaji. Trump alisema Hamas itaenda kuishi kuzimu, huenda maneno yake yanaenda kutimia. Viongozi wa Hamas hawana pa kujificha tena, maana kila sehemu wanakoenda wanauawa. Israeli juzi ililipua hospitali ya Uturuki iliyopo Gaza na kuangamiza rundo la wapiganaji wa Hamas waliojificha humo.

Uturuki imeilaumu Israeli na Israeli pia imeilaumu Uturuki kwa kuwasaidia Hamas kwa siri. Toka mwaka jana Uturuki na Israeli hazina uhusiano mzuri. Huenda huko baadae Edrojen akaondolewa madarakani. Kuhusiana na maandamano ya Gaza, BBC wameripoti hivi; 👇

"Waandamanaji walikusanyika karibu na kambi ya watu waliokimbia makazi yao huko Beit Lahia, kaskazini mwa Ukanda wa Gaza, na kisha kuandamana kupitia barabara zilizozingirwa na vifusi vya majengo na nyumba zilizoharibiwa wakati wa vita, karibu na Hospitali ya Indonesia, ambapo waliimba nyimbo ukiwemo na kutoa kauli ikiwemo "Hamas out, out," kulingana na video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii.

Wanachama wa Hamas waliojifunika nyuso zao, baadhi wakiwa na silaha na wengine wakiwa wamebeba marungu, waliwatawanya waandamanaji kwa nguvu na kuwashambulia baadhi yao."

👆Hivyo kwa taarifa hii ni dhahiri Hamas itaenda kuanguka na Gaza itaewekwa chini ya utawala wa Wayahudi kama ilivyo kwa maeneo mengine wanayoishi Wapalestina.

Greater Israeli inaenda kuundwa kwa uhakika machoni petu. Nitakuja kuelezea siri iliyo nyuma ya greater Israeli.
 
"Wayahudu waandamana, hawamyaki Netanyahu" by Ritz
Maandamano ya Wayahudi, jeshi lao wala halikuua mwandamanaji hata mmoja, Hamas wanaua raia wao. Akili za Waarabu na blacks they are almost the same, unaua raia wako mwenyewe, utamtawala nani? Stupid
 
Wakati ukianzisha hiyo mada sharti ujue yafuatayo:

1. HAMAS ilianzishwa kwa msaada wa Mossad ili iwe ni kupunguza nguvu ya chama cha FATAH cha akina Yesser Arafat

2. Israel ilisaidia HAMAS kuendelea kupata pesa za ufadhili kutoka Qatar, Benjamin Netanyahu alilitaarifu Bunge la Israel (Knesset) kuhusu hilo, na akasema hilo ni kwa faida ya Israel.
 
Back
Top Bottom