Rai yangu kwa Waziri wa Fedha Dr. Mwigulu Lameck Nchemba juu ya mapendekezo ya Bajeti kuhusu wateule wa Rais waliotenguliwa nyadhifa zao

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Oct 26, 2018
21,713
35,525
Nimesoma katika moja ya mapendekezo ya Waziri wa Fedha Dr. Mwigulu Nchemba ni kwamba wateule wa Rais waliotenguliwa wasilipwe mishahara ya vyeo walivyokuwa navyo awali yaani warudishwe kwenye mishahara ya vyeo vyao vya miundo kabla ya kuteuliwa.

Hoja yake ni kupunguza wagebill ila najiuliza sana swali hili, ina maana kweli Waziri wa fedha na wataalamu wake hawajaona makundi haya yanayolipwa 80% ya waliowaachia vyeo baada ya kustaafu???
Rais
Waziri Mkuu
Makamu wa Rais
Spika
CDF
IGP
Mkuu wa Magereza
Majaji
Katibu Mkuu kiongozi
Na wengineo
Haya makundi yanakula fedha bila kufanya kazi na wanabaki na walinzi wanaolipwa na Serikali na Magari ya Serikali na mafuta ya Serikali.
Mwigulu wakati unahitimisha Bajeti yako njoo unijibu maswali yangu.
 

Attachments

  • Screenshot_20220625-075837_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20220625-075837_WhatsApp.jpg
    151.4 KB · Views: 10
Hujamwelewa kabisa Mh. Mwigulu ww..

Alisema kwa wale watumishi wa umma waliotenguliwa au kutolewa katika nafasi zao za uteuzi kwa sbb mbalimbali na sio kustaafu au kuhamishiwa sehemu nyingine za kazi.

Si unajua maana ya kutenguliwa? Yaani umefutwa au kutolewa katika nafasi ya uteuzi kwa sbb mbali mbali ikiwemo wizi, rushwa, au kutumia madaraka uliopewa vibaya, au ku under perform, etc..

Hivyo Mh. Waziri Mwigulu yuko sahihi sana, ataisaidia serikali kuokoa fedha nyingi sana katika kundi hili. Pia lile wazo la Mh. Mwigulu la kuwakopesha magari viongozi na maafisa wa serikali na wazihudumie na kugharamikia wenyewe hii itaokoa billions za fedha za serikali, sbb maafisa na madereva wengi wa serikali wana misuse sana hayo magari ma Vx V8, ni hasara sana kwa serikali.

Hivyo muelewe vizuri Mh. Waziri Mwigulu, acha siasa za maji taka.
 
Sijawahi mwelewa mwigulu Ila kwa hili nimemwelewa Tena Sana.
Haiwezekani mtu alikua mkurugenzi au mkuu wa wilaya akatumbuliwa alafu anabaki na mshahara ule ule Zaid anachokosa hapo ni marupu rupu tu Sasa hiyo ilikua na maana gani?

Kumbe ndio maana watu walikua wanaiba na kufanya watakavyo wakijua hata wakitumbuliwa salary itabak ile ile ya mwanzo .
Safar hii lazima wawe na adabu na kulinda hivyo vyeo vyao kwa udi na uvumba yaan kuwa wadilifu maana kupoteza salary ni kisanga kingine yaan utoke kwenye 4m had 1.2 m lazima dunia uione inazunguka.
 
Ata waliotajwa hapo juu wanatakiwa kulipwa kiinua mgongo wakisaidiwa wapewe usafiri tuu. Mambo ya malipo ya mishahara 80% ni matumizi ya hovyo
 
Hujamwelewa kabisa Mh. Mwigulu ww..

Alisema kwa wale watumishi wa umma waliotenguliwa au kutolewa katika nafasi zao za uteuzi kwa sbb mbalimbali na sio kustaafu au kuhamishiwa sehemu nyingine za kazi.

Si unajua maana ya kutenguliwa? Yaani umefutwa au kutolewa katika nafasi ya uteuzi kwa sbb mbali mbali ikiwemo wizi, rushwa, au kutumia madaraka uliopewa vibaya, au ku under perform, etc..

Hivyo Mh. Waziri Mwigulu yuko sahihi sana, ataisaidia serikali kuokoa fedha nyingi sana katika kundi hili. Pia lile wazo la Mh. Mwigulu la kuwakopesha magari viongozi na maafisa wa serikali na wazihudumie na kugharamikia wenyewe hii itaokoa billions za fedha za serikali, sbb maafisa na madereva wengi wa serikali wana misuse sana hayo magari ma Vx V8, ni hasara sana kwa serikali.

Hivyo muelewe vizuri Mh. Waziri Mwigulu, acha siasa za maji taka.
Unaonaje kama na hawa wastaafu wakiondolewa 80% ya mshahara wa aliyeko madarakani?
 
Unaonaje kama na hawa wastaafu wakiondolewa 80% ya mshahara wa aliyeko madarakani?
Hakuna cha unaonaje, you are mixing issues with tissues..!!

First, unachanganya hoja na viroja, be straight, Waziri kaweka vizuri sana, hivi ulitrgemea Waziri awachokonoe au kufuta 80% ya wastaafu Wakuu wa Nchi, PM, VP, hivi ulijua hiyo budget inaenda tu bungeni bila kwanza kupitiwa kwa umakini na wakubwa behind the closed doors ndio iende bungeni? Mbona ww uelewa wako mdogo, hayo unayotaka kusema ya kufuta 80% Waziri hana madaraka nayo, usimtafute ubaya Mh. Waziri kwa hili & hii ni issues tofauti kabisa, na ndio maana i told you, ur mixing issues with tissues..!!
 
Hakuna cha unaonaje, you are mixing issues with tissues..!!

First, unachanganya hoja na viroja, be straight, Waziri kaweka vizuri sana, hivi ulitrgemea Waziri awachokonoe au kufuta 80% ya wastaafu Wakuu wa Nchi, PM, VP, hivi ulijua hiyo budget inaenda tu bungeni bila kwanza kupitiwa kwa umakini na wakubwa behind the closed doors ndio iende bungeni? Mbona ww uelewa wako mdogo, hayo unayotaka kusema ya kufuta 80% Waziri hana madaraka nayo, usimtafute ubaya Mh. Waziri kwa hili & hii ni issues tofauti kabisa, na ndio maana i told you, ur mixing issues with tissues..!!
Mbona kama una jazba mkuu 😅😅😅 unaposema hana madaraka ya kufuta 80% kwani anafuta yeye? Kwani kwa hili la kuondoa mishahara ya waliotenguliwa na madaraka nalo?

Hizi hoja mbili wala haziingiliani
1. Waliotenguliwa kuondelewa mishahara ya madaraka
2. Wastaafu kuendelea kulipwa 80%

Hapo nimechanganya wapi? Halafu unasema nina akili ndogo huku ukiendelea kujidhalilisha
 
Nimesoma katika moja ya mapendekezo ya Waziri wa Fedha Dr. Mwigulu Nchemba ni kwamba wateule wa Rais waliotenguliwa wasilipwe mishahara ya vyeo walivyokuwa navyo awali yaani warudishwe kwenye mishahara ya vyeo vyao vya miundo kabla ya kuteuliwa.

Hoja yake ni kupunguza wagebill ila najiuliza sana swali hili, ina maana kweli Waziri wa fedha na wataalamu wake hawajaona makundi haya yanayolipwa 80% ya waliowaachia vyeo baada ya kustaafu???
Rais
Waziri Mkuu
Makamu wa Rais
Spika
CDF
IGP
Mkuu wa Magereza
Majaji
Katibu Mkuu kiongozi
Na wengineo
Haya makundi yanakula fedha bila kufanya kazi na wanabaki na walinzi wanaolipwa na Serikali na Magari ya Serikali na mafuta ya Serikali.
Mwigulu wakati unahitimisha Bajeti yako njoo unijibu maswali yangu.
Ndiyo ujue CCM wote hawana akili
 
Sijui kama miwigulu ninaemjua atajibu! anyway, akijielewa na kuacha kibri na dharau atakujibu, hakawii kusema 'kama hamridhiki hamieni Ukrane'
 
Back
Top Bottom