Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 710
- 1,365
Kwako MH Rais Wetu MH Samia S Hassan
Awali ya yote pole Sana na majukumu ya Kitaifa ya kila siku
Nikuombe Sana MH Rais ukipata muda uwe na Mkutano Mkuu wa Kitaifa na Wananchi wako,Iwe Dar es salaam, Dodoma au Zanzibar
Agenda kuu itakuwa moja Tu,
Kusikiliza maoni ya Wananchi na kuboresha mapato kwenye Halmashauri, Manispaa TRA na Vyanzo vyote vya mapato
Kuna Taasisi kama TRA au Halmashauri Serikali inapoteza mapato mengi,Kwa uzembe na rushwa iliokithiri
Nikuombe Sana tafuta muda wa siku tatu mfululizo kukaa na Wananchi na kusikiliza maoni ambayo kwayo yatasadia Serikali kuongeza Vyanzo vya mapato
TRA, Halmashauri zote,manispaa na Taasisi zote ziwepo kwenye Mkutano huo
Naamini MH Rais kupitia Mkutano huo utajifunza vitu vingi lakini zaidi Serikali kwenda kuongeza mapato baada ya Mkutano huo
Najua MH Rais Una majukumu mengi ya Kitaifa lakini nikuombe utenge muda wote kwaajili ya hili Jambo muhimu la Kitaifa
Natanguliza Shukrani
afredrick59@gmail.com
Awali ya yote pole Sana na majukumu ya Kitaifa ya kila siku
Nikuombe Sana MH Rais ukipata muda uwe na Mkutano Mkuu wa Kitaifa na Wananchi wako,Iwe Dar es salaam, Dodoma au Zanzibar
Agenda kuu itakuwa moja Tu,
Kusikiliza maoni ya Wananchi na kuboresha mapato kwenye Halmashauri, Manispaa TRA na Vyanzo vyote vya mapato
Kuna Taasisi kama TRA au Halmashauri Serikali inapoteza mapato mengi,Kwa uzembe na rushwa iliokithiri
Nikuombe Sana tafuta muda wa siku tatu mfululizo kukaa na Wananchi na kusikiliza maoni ambayo kwayo yatasadia Serikali kuongeza Vyanzo vya mapato
TRA, Halmashauri zote,manispaa na Taasisi zote ziwepo kwenye Mkutano huo
Naamini MH Rais kupitia Mkutano huo utajifunza vitu vingi lakini zaidi Serikali kwenda kuongeza mapato baada ya Mkutano huo
Najua MH Rais Una majukumu mengi ya Kitaifa lakini nikuombe utenge muda wote kwaajili ya hili Jambo muhimu la Kitaifa
Natanguliza Shukrani
afredrick59@gmail.com