Rai: Waziri aliyetuma SMS kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo awajibishwe!

Leo Mh Magufuli amejionea mwenyewe jinsi mteule wake anavofanya kazi.
kwanza ni mtuhumiwa wa escrow
pili anafanya kaz kwa mazoea anavojisikia, unawezaje kuagiza maagizo mazito kwa Meseji? eti 24 hours suala Fulani lifanyike bila Official letter.

mh Magufuli, Fanya reshuffle ya baraza mapema, overconfidense ya watu itakuletea problems

take it sir, kaushauri ka lyman
Kama ni kweli suala lilikuwa na uzito. Barua itafuata. Chill
 
Hii ndiyo faida ya kuunda serikali ya kishkaji. Hivi kuwaacha kando waliokuwa mawaziri wa zamani kungeleta athari gani kwenye serikali yake? Wakati mwingine si kila ushauri unafaa kwa mazingira na wakati uliopo. Ona wanavyojaribu kuficha maovu yao kupitia kwa waliowaweka. Atumbuliwe tu kwani yeye ni Kansas siyo jipu tens. Na akimuacha bandarini patakuwa hovyo kuliko ilivyo sasa. Amng'oe yeye na mapandikizi yake yote. Kama ameweza kumtumia mkurugenzi sms za ujio wa PM atashindwaje kutoa siri za vikao vya maamuzi ya baraza la mawaziri?
 
Yule Mkurugenzi kataja kabisa kwamba aliyemtumia sms ni Sospeter Muhongo.
Ingawa Waziri alituma sms ambayo pia ni moja ya mawasiliano yasiyo rasmi, lakini bado huyo Mkurugenzi kaonesha udhaifu mkubwa. Hakupaswa kuongea kwamba nilitumiwa sms. Sijui alibebwa huyo mama!!! Nae ni jipu bila shaka. Asipolitumbua Waziri Mkuu, Muhongo lazima atalikamua, maana limeota pabaya.

Huyu waziri alikua anaujua uozo ulioko Bandarini. Ni kwanini amuandae huyo mtendaji mkuu wakala wa vipimo? Huyu waziri ni miongoni mwa mawaziri wanaomhujumu Rais Magufuli! Hii ni aibu kubwa kwa mtu mwenye dhamana kubwa kama waziri na hii ni kukosa uaminifu katika kazi za umma.

Hii tabia inatakiwa ikomeshwe mara moja na wengine wajifunze, Waziri mkuu anwajibishe huyu waziri aliyetuma hiyo sms! Maana idingetumwa hiyo sms pengine hali ingekutwa mbaya zaidi na Waziri mkuu kuijua hali halisi ya mazingiza haya.

Nadhani waziri mkuu mwenyewe amejionea na amesikika jinsi snavyohujumiwa na wenzake wazi wazi! sasa achukue hatua mara moja.Hizo flowmetres zingine inamaana isingetumwa sms zote zingekutwa zimegandiana kutu hapo.
 
Kuna mwingine alimletea kibezi Magufuli wakati wa sakata la kuhamisha Accounts za taasisi za serikali BOT ,Sijui ni waziri gani ,
Uwaziri mtamu sana rais alimuagiza aandike barua ya kujiuzuru kama hataki hilo lifanyike ...wala hakuoneka....kuanza kutafuta kalamu na karatasi....
 
Huyu waziri alikua anaujua uozo ulioko Bandarini. Ni kwanini amuandae huyo mtendaji mkuu wakala wa vipimo? Huyu waziri ni miongoni mwa mawaziri wanaomhujumu Rais Magufuli! Hii ni aibu kubwa kwa mtu mwenye dhamana kubwa kama waziri na hii ni kukosa uaminifu katika kazi za umma.

Hii tabia inatakiwa ikomeshwe mara moja na wengine wajifunze, Waziri mkuu anwajibishe huyu waziri aliyetuma hiyo sms! Maana idingetumwa hiyo sms pengine hali ingekutwa mbaya zaidi na Waziri mkuu kuijua hali halisi ya mazingiza haya.

Nadhani waziri mkuu mwenyewe amejionea na amesikika jinsi snavyohujumiwa na wenzake wazi wazi! sasa achukue hatua mara moja.Hizo flowmetres zingine inamaana isingetumwa sms zote zingekutwa zimegandiana kutu hapo.

Ni Waziri gani huyo? Watanzania tunapenda kumjua!!
 
Nimeshangaa sana kusikia huyo wazir kutumia message huyo ceo hakika anatakiwa awajibishwe
 
Huyu waziri alikua anaujua uozo ulioko Bandarini. Ni kwanini amuandae huyo mtendaji mkuu wakala wa vipimo? Huyu waziri ni miongoni mwa mawaziri wanaomhujumu Rais Magufuli! Hii ni aibu kubwa kwa mtu mwenye dhamana kubwa kama waziri na hii ni kukosa uaminifu katika kazi za umma.

Hii tabia inatakiwa ikomeshwe mara moja na wengine wajifunze, Waziri mkuu anwajibishe huyu waziri aliyetuma hiyo sms! Maana idingetumwa hiyo sms pengine hali ingekutwa mbaya zaidi na Waziri mkuu kuijua hali halisi ya mazingiza haya.

Nadhani waziri mkuu mwenyewe amejionea na amesikika jinsi snavyohujumiwa na wenzake wazi wazi! sasa achukue hatua mara moja.Hizo flowmetres zingine inamaana isingetumwa sms zote zingekutwa zimegandiana kutu hapo.
Mkuu hawawezi kumwajibisha kwa maana italeta picha mbaya kwa Rais aliyewateua Hao mawaziri,ataonekana ni mkurupukaji hivyo hilo swala unaweza usilisikie tena
 
Uwaziri mtamu sana rais alimuagiza aandike barua ya kujiuzuru kama hataki hilo lifanyike ...wala hakuoneka....kuanza kutafuta kalamu na karatasi....
Ningependa kujua ni Waziri gani ,halafu Magufuli kwake a spade is a spade ni mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila kasema hadharani kabisa kuna waziri alitaka kutofautiana nae ,sidhani kama pia kulikua na ulazima wa kusema hayo kwetu
 
Huyu waziri alikua anaujua uozo ulioko Bandarini. Ni kwanini amuandae huyo mtendaji mkuu wakala wa vipimo? Huyu waziri ni miongoni mwa mawaziri wanaomhujumu Rais Magufuli! Hii ni aibu kubwa kwa mtu mwenye dhamana kubwa kama waziri na hii ni kukosa uaminifu katika kazi za umma.

Hii tabia inatakiwa ikomeshwe mara moja na wengine wajifunze, Waziri mkuu anwajibishe huyu waziri aliyetuma hiyo sms! Maana idingetumwa hiyo sms pengine hali ingekutwa mbaya zaidi na Waziri mkuu kuijua hali halisi ya mazingiza haya.

Nadhani waziri mkuu mwenyewe amejionea na amesikika jinsi snavyohujumiwa na wenzake wazi wazi! sasa achukue hatua mara moja.Hizo flowmetres zingine inamaana isingetumwa sms zote zingekutwa zimegandiana kutu hapo.
YULE MAMA KAMTAJA PROF.MHONGO ,HAKUNA CHA KUFICHA HAPO!
 
Ningependa kujua ni Waziri gani ,halafu Magufuli kwake a spade is a spade ni mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila kasema hadharani kabisa kuna waziri alitaka kutofautiana nae ,sidhani kama pia kulikua na ulazima wa kusema hayo kwetu
Mkuu kulikuwa na umuhimu ili atakapochukulia mawaziri 'watukutu' hatua kali wananchi wajue kabisa kuwa rais hawaonei mawaziri wake.
 
Back
Top Bottom