Rahma Al Kharoos anatafuta Ubunge?


Mchokonozi mchokonozi...!!!!!!!
 
Dats y nililalamika sana nilipopoteza password ya jamii forum,wish nitafaidi sana.
Makala ilikua poa sana bt kiukweli huyu mwandishi hakuwa nahaja ya kuficha jina kwa ajili ya kumrida ilhali watu wengi wanamfahamu mwanamama huyu.
 
Unyumba ndogo wake usimfanye ndio achaguliwe... LAKINI,

Sio kwamba aache kuchaguliwa sababu ni nyumba ndogo.., cha kujiuliza ni Je anaweza Kazi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…