Rahma Al Kharoos anatafuta Ubunge?

Tunataka wanawake wengi bungeni....go go go mama Rahma Al Kharoos Al Kharoos.....tumia vizuri kitega uchumi chako ulo jaaliwa...
 

C'mon Pengo. tunataka kujua hela zetu sisi walipa kodi zinatumika vipi. Mtu hatujui atokako anamwaga pesa hovyo kama njugu -- au tayari wameshakupua tena BoT? Maana tarehe zenyewe ndiyo hizi. safari hii tunataka kuwakamata kabla ya uchaguzi. Isitoshe nchi hii siyo ya kisultani please!!!
 
Wanawake jitokezeni mgombee kwenye chaguzi hizi.Akijitokeza Al Kharoos nampa kula yangu.Sijui nimtafute wapi nimfanyie kampeni.!
 
Ndo udhaifu wake huo,

Jamaa ataiuza nchi kwasababu ya mashori!! Ndio maana siku hizi anawapigia upatu waje kuwekeza hao waarabu wa saudia na Oman kumbe ni shemeji zake!! Tusipoamka tutastukia waarabu wamerudi na kutufanya watumwa once more kwa tamaa na starehe za watawala wetu!!
 
Wanawake jitokezeni mgombee kwenye chaguzi hizi.Akijitokeza Al Kharoos nampa kula yangu.Sijui nimtafute wapi nimfanyie kampeni.!

Mkulu kwanini asimpe ukuu wa Mkoa ama wa wilaya naona Ubunge watu weshaanza mambo yao!
 
Sina la kusema hapa... Ngoja nizichange... nikaangalie hiyo Miss TZ inter-College...
 

mkuu hizo wanazizungukia badae na kuzila tena.
wakijenga ama kununua dawati soo maana mtadai darasa baade,ila kwenye netball na vinginevyo powa kabisa.
 
huyo mtu anaeitwa pengo nae kimeo sijui katumwa na nani?na huyo mkulu asituchanganye awaambie vi...a wake nchi hii siya kisultan kama wanataka wakafungue showroom au maduka ya nguo.
 
Mkulu kwanini asimpe ukuu wa Mkoa ama wa wilaya naona Ubunge watu weshaanza mambo yao!
aah mkulu yupo makini atampatia hata uwaziri baada ya kumteua km mbunge wa kuteuliwa......tanzania inaliwa na wenye meno!!
 

HIZI KWELI NI TETESI. Lakini zina uongo mwingi sana ndanimwe.

Watz wote tunajua kuwa raisi wetu ana mke mmoja, mama salma. nashangaa huyu mwingine ametokea wapi/.

kwani si ajabu raisi kuwa na mke zaidi ya mmoja. kwani hata MWINYI ALIKUWA NA WAWILI.

ELEWA KUWA SI KILA MWANAMKE NI MKE. ILA MKE NI LAZIMA AWE MWANAMKE.
 

Kweli wewe Mjahedina haswa! hujatoa point yoyote zaidi ya kutetea dini. Hivi nchi ikiwa ya Wakatoliki wote unadhani ndo itakuwa salama? Udini mnauweka sasa, lakini baadaye si kila mtu anafaidika na dini ikiwa moja. Changia hoja, siyo kushambulia kwa misingi ya ubaguzi. Umetumia lugha Mzunguko, lakini ukweli unajidhihirisha kwa mtiririko wa kiswahili chako, na ghadhabu ilyo jaa ujinga wa kidini (digmatic).

Halafu, badili jina badala ya pengo tumia asili yako halisi ya Zenji !
 
African Lyon to Get New Owners

Evance Ng'ingo
20 August 2010

Dar Es Salaam

Premier league side African Lyon is likely to secure new owners; it was learnt in Dar es Salaam on Friday.

RBP Oil Industry Executive Director Rahma Al-Kharoos confirmed her intention to buy stake in the Mbagala based team that has been left orphan by its former owner, Mohammed Dewji.




US-based investors also reportedly have shown interest to join a local company -- RBP Oil Industry in a take-over deal. To prove her intent, Rahma said she has entered into a contract worth 110m/- to support the team's campaign in this season's top flight league.


She said officials of the potential shareholders --Seattle Sounders from USA, are expected in Dar es Salaam on Saturday, for talks with the team's leadership on a possible take-over deal.


"We have good plans to transform African Lyon from their current tag as a minnow club into a massive club in the country and Africa. We will start by introducing youth system at the club as well as introducing women team," she said.


She said if the deal with Seattle Sounders goes through, Africa Lyon players will be provided with an avenue to visit and play in USA regularly. African Lyon Secretary General Brown Rugemarila thanked RBP boss for what he described as timely support.


"We are so pleased that you have bailed us out just a day before the start of the league. It was definitely going to be hard for us to compete in the league without enough financial power but at least now we can compete favourably," he said.


Link: here from All Africa news
allAfrica.com: Tanzania: African Lyon to Get New Owners

Picha on Mohamed Dewji blog

 
Lakini pia mmesahau kuwa aliipeleka timu yetu ya Twiga Stars Marekani kwa wiki 2? Nafikiri kila mmoja anatafuta sifa kwa timu yake. Baba yuko Taifa Stars na Mama yuko Twiga Stars.

 

Jamani mpooo? Kampeni za mwaka huu tamu sana acha nitafute wine yangu ninywe
 
Tina: Angalia details kwenye thread ya KIKWETE: In Black And White
 
Huyu mwanamama amepewa maelekezo ya kujitangaza through michezo na sanaa.Lengo halikuwa ubunge kama walivyofikiri wengi bali anaandaliwa ulaji sehemu flani.Mkakati huo bado upo lakini unaweza kuathiriwa na uhusiano wake na Kikwete kutajwatajwa waziwazi.
 


Lazima atapatiwa kazi kubwa iwapo Kikwete atarudi Ikulu! Mahusiano yake na Mh Kikwete na huyu dada yapo wazi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…