Raha ya wanawake "vibonge" inatoka wapi?

Raha ya wanawake "vibonge" inatoka wapi?

Tunaelekea kwenye ufufuko Tafadhali laana zako bakiza sebuleni kwako we kitaulo

Kitaulo??😂😂😂

Kuhusu laana bakiza wewe huko na vibonge vyako huko kijijini kwenu vinavyorudia taiti ya pink...mie sina laana
 
Asa mi ningejuaje kama joana nawe ni CHI CHI chiboooonge aa chichi
Lkn kama we ni kibonge na unajipenda sio mbaya we potezea tu mi nawazungumzia waleeee
Kitaulo??

Kuhusu laana bakiza wewe huko na vibonge vyako huko kijijini kwenu vinavyorudia taiti ya pink...mie sina laana
 
Mchagua jembe si mkulima,ukiona mwanaume anatoa visabab vingiii ujue kibamia ama jogoo hapand,sis malijali ukijua tuu dem anakuja geto mnara ushaanza kusoma,akifika jee si balaa,huo mda wa kuskia haruf unatoka wap
 
Asa mi ningejuaje kama joana nawe ni CHI CHI chiboooonge aa chichi
Lkn kama we ni kibonge na unajipenda sio mbaya we potezea tu mi nawazungumzia waleeee

Hao unaowazungumzia ulitakiwa uwaambie wabadilike kwasababu kuwa mchafu sio kilema....hakuna binadamu aliyekamilika,ni suala la kuelekezana
 
Braza siku hizi wanaume hatuzoi zoi
Wanaume tunachagua wapi pakutumbukiza mashine sasa ww kama unatumbukiza mpk kwenye mitaro ya maji taka shauri zako utanukisha jamii
Mchagua jembe si mkulima,ukiona mwanaume anatoa visabab vingiii ujue kibamia ama jogoo hapand,sis malijali ukijua tuu dem anakuja geto mnara ushaanza kusoma,akifika jee si balaa,huo mda wa kuskia haruf unatoka wap
 
Kwani wale wanaume mnaowatosa kisa hawana mkwanjee wana ukilema gani ety Dada joa...
Hao unaowazungumzia ulitakiwa uwaambie wabadilike kwasababu kuwa mchafu sio kilema....hakuna binadamu aliyekamilika,ni suala la kuelekezana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom