pleo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 3,362
- 2,502
dah!Nazi yenyewe uikune taratibu huku umelegeza kidogo mikono ili itoke vizuri
dah!Nazi yenyewe uikune taratibu huku umelegeza kidogo mikono ili itoke vizuri
Hii mesege sent kwa wadada wa town.
Mnachagua mno
Sio jikoni kaka..nahis hii sio nazi tuliyoizoea...ngoja waje"Inaonekana jikoni unayaweza sana, sijui kwanini niliwahi kuoa.."
Kumbe tuko wengi, mkuu hiyo post inamaana kubwa zaidi ya mapishiKidogo niseme ipelekwe jukwaa la mapishi
We ndo fundi malizia kila kitu usiishie njia ni utakatisha mautamruksa kuongeza.....mada ipo jamvini
hahahahahaha umenifanya nicheke kwa nguvu ofisiniKidogo niseme ipelekwe jukwaa la mapishi