Raha ya kuwa single

Raha ya kuwa single

lion iron

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2016
Posts
318
Reaction score
232
Hii ndiyo raha ya kuwa single, naamua ninachokitaka, narudi home muda ninaopenda na siulizwi na mtu. Nafanya ninachoweza siulizwi na mtu hata nisipokula home siulizwi nimekula wapi.

Sasa wewe kama upo na msichana usiniige mimi maana lawama sipendi.
 
Mbona kama unajitetea vile? Anyway, kuna jamaa aliwahi kusema "kama unatoswa jiulize, ni ubaya ama ufukara?".

Mkuu cjawahi kuumizwa na mwanamke,na huwa niko bize na kazi vibaya sana,nafanya kazi masaa kumi na 13 ,home narudi saa mbili hadi saa tatu.nikichelewa naingia saa 4 na kuamka saa 11 asubuhi.na mimi ni bonge la mwanaume na mumgu kanijalia uhandsome.ila mimi cyo mtu wa sketi
 
Raha ya kuwa single, hupigwi vizinga pesa unakula mwenyewe
Ukitaka huduma ya msingi unainunua chapchap umemaliza.
Huna haja ya kumtoa mtu out, sjui kumfikiria mwingine.

*kuwa single ni raha, ila uwe na cha kukuweka busy, sio uko single halaf unakaa idle tuu, hapo bora utafute mwenzio akupe hata ki kampan flani hivii
 
Mkuu cjawahi kuumizwa na mwanamke,na huwa niko bize na kazi vibaya sana,nafanya kazi masaa kumi na 13 ,home narudi saa mbili hadi saa tatu.nikichelewa naingia saa 4 na kuamka saa 11 asubuhi.na mimi ni bonge la mwanaume na mumgu kanijalia uhandsome.ila mimi cyo mtu wa sketi
Mwanaume unajisifia uhandsome? Alafu unaponda sketi? Nikiunganisha dot napata mashaka
 
Unakuwa single halafu huna ishu ya kukufanya uwe bize ni majanga.

Ila mbona kama unajitetea au unapigwa sana vibuti ukaona uje kujifaraji JF

Cjawahi kupigwa kibuti hata cku moja ,labda huko mbeleni.na cwezi kukaa au kulaumu kisa mwanamke. Nasaka ela kama nilizaliwa na ela
 
Mkuu cjawahi kuumizwa na mwanamke,na huwa niko bize na kazi vibaya sana,nafanya kazi masaa kumi na 13 ,home narudi saa mbili hadi saa tatu.nikichelewa naingia saa 4 na kuamka saa 11 asubuhi.na mimi ni bonge la mwanaume na mumgu kanijalia uhandsome.ila mimi cyo mtu wa sketi
Hmmmm! I wonder why?
 
Back
Top Bottom