Mgibeon JF-Expert Member Aug 7, 2011 11,145 20,790 Sep 24, 2016 #2 Hiyo siyo raha Mkuu... mateso tu, au unaruhusiwa kuwanyoosha?
englibertm JF-Expert Member May 1, 2009 9,252 6,207 Sep 24, 2016 Thread starter #3 englibertm said: Click to expand...
vollies JF-Expert Member May 31, 2015 748 446 Sep 24, 2016 #5 Hata kama sina kazi hii siitaki nisije nikalogwa mie pale nnapozidiwa
Tetramelyz JF-Expert Member Apr 25, 2014 4,351 12,396 Sep 24, 2016 #6 Hizi kazi zingine wakafanye mahanith
The king 07 JF-Expert Member Sep 6, 2013 521 751 Sep 24, 2016 #7 ifanye kwa bidii kazi yako,..uongeze kipato
Kingsharon92 JF-Expert Member Aug 10, 2015 7,556 9,531 Sep 24, 2016 #8 Hii kazi inawafaa wanaume wa Dar mimi wa mkoani nitafungwa bure
samsun JF-Expert Member Feb 9, 2014 7,386 5,954 Sep 24, 2016 #9 Raha ya kazi mshahara a.k.a kipato, sasa wale madaktari bingwa wa magonjwa ya akina mama utasemaje ....??
Raha ya kazi mshahara a.k.a kipato, sasa wale madaktari bingwa wa magonjwa ya akina mama utasemaje ....??