Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyewahi kuwa Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU), Ragi Samwel , amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Ukonga kupitia tiketi ya CCM.
Samwel alipokea fomu hiyo leo, Juni 30, 2025, na kukabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Ilala, Sylvester Yeredi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Ragi alisema amejiamini na kuona kuwa anatosha kuwatumikia wananchi wa Ukonga na kuchangia katika kuleta maendeleo ya kweli ndani ya jimbo hilo.
Samwel alipokea fomu hiyo leo, Juni 30, 2025, na kukabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Ilala, Sylvester Yeredi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Ragi alisema amejiamini na kuona kuwa anatosha kuwatumikia wananchi wa Ukonga na kuchangia katika kuleta maendeleo ya kweli ndani ya jimbo hilo.