Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Akizungumza leo Jumatatu Rage amesema huwezi kutaja katiba ya klabu ya Simba bila kutaja jina la Sitta
Rage amesema Sitta wakati wa uhai wake alikuwa mwanachama na mpenzi mkubwa wa klabu ya Simba SC
Amesema kuna kipindi hata jezi za klabu hiyo zilikuwa zinafuliwa nyumbani kwake
Amesema Sitta ametoa mchango mkubwa katika maendeleo ya klabu hiyo ambayo mengine ni vigumu kuyataja.
Chanzo : Mwananchi