Rage Kawageuza Simba Misukule Yake

Rage Kawageuza Simba Misukule Yake

ALIVYOSEMA RAGE KWENYE MKUTANO MKUU WA SIMBA SC :

“Simba oyee ... Wanasimba msifanye makosa Mei 4 hakikisheni mnachagua kiongozi ambaye atakaa madarakani miaka minne, msifanye makosa baada ya mwaka mmoja mkataka aondoke, Katiba ya Simba inakataza mapinduzi.

“Mimi sitagombea, mimi siyo maskini, sina njaa, hata mkizomea nasemaje mimi sina njaa, na wanachama wengi mliopo hapa ni mambumbumbu.”





 
Anasema kweli ni mambumbumbu. Ana reference nyingi. Na hasa kama mwanasiasa anajua hakika wadanganyika ni mbumbumbu pia. unakuwa madarakani miaka mingi bila kuwapa maji kwa mfano, lakini watakuchagua tena kwa ahadi ileile ya kuwaletea maji yaleyale walokuwa hawana. Nchi hii kweli imejaa mambumbumbu. Rage yuko sahihi maana ana uzoefu na watanzania.
 
WANACHAMA WA SIMBA NI MABAAMEDI_Hassan Hassanol(Mpganaji)

Hivi mikia mnawezaje kuvumilia kauli kama hizi toka kwa viongozi wenu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom