TinyMonster
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 242
- 154
Nimeangalia hii video namna Rage alivyokuwa anaongea kwa kejeli jana kwenye mkutano wa Simba hadi akafikia ya kuwaita wanachama mambumbumbu na bado wakaishia kupigana wao kwa wao. Kwa mara ya kwanza nakubaliana na aliesema Rage kawageuza Simba misukule yake anawafanya anavyotaka, anapiga hela za mauzo ya wachezaji na hawana la kumfanya.
Last edited by a moderator: