Rage asiigeuze Simba yetu kuwa ni taasisi yake ya mfukoni! Ajue Simba ina wanachama wanaolipia kadi zao, na wanahitaji kuona utulivu ndani ya Simba. Rage anangembe sana na kila akizungumza na watu hutoa maneno ya dharau ambayo hayalingani na hadhi ya wanaSimba wala hadhi yake kama mtu mzee na mbunge! Mbona anakuwa kama Ndolanga wakati wa FAT ? Watu wameshakuchoka Rage, wasikilize au waachie timu yao! Hii siyo CCM ni Simba! Wacha bwana nenda zako umewaudhi mpaka mpira pesa ambao wanamchango mkubwa sana kwa Simba kifedha! Mpira bila pesa utafika wapi wewe Rage???