Samson Ngomboli
JF-Expert Member
- Oct 30, 2019
- 1,541
- 2,536
"My take: Wapelekeni shule watoto. pamoja na "chuo" na formal schooling ni muhimu."Usiwapangie watu jinsi kulea watoto ..madrasa ina umuhimu wake pia
Ila wakipewa nafasi mnaanza kulalamika udini. Wakifanya biashara zao Allah akawafungulia rizqi zao mnaanza makelele ooh anaendekeza udini katika ajira, ooh sijui mbona anaipendelea Dini yake. Mahasidi wakubwa nyinyi.Wakiwa wakubwa watalalamika hawapewi nafasi serikalini
Nani amwache professor na mbobevu amuchua mtu wa madrasa
Halafu waje kuwalalamikia kwa "udini" wakati hawaishi kuwadharau na kuwatukana.Au nyinyi someni wao watakuja kuwaajiri
Biashara ya kufuga majini ?Ila wakipewa nafasi mnaanza kulalamika udini. Wakifanya biashara zao Allah akawafungulia rizqi zao mnaanza makelele ooh anaendekeza udini katika ajira, ooh sijui mbona anaipendelea Dini yake. Mahasidi wakubwa nyinyi.
Hizo "elimu zinazoeleweka" zimewasaidia nini nyinyi? Someni mje kuomba ajira kwa watoto wa madrasa, halafu mkikosa muwalaumu kwa "udini".Bila shaka ni maeneo ya tanga kwenye ile dini ilikoenea sana. Cha msingi wapeleke watoto wao kwenye elimu zinazoeleweka kuwa na tija kuliko hayo madrasa, ni abrakadabra tu kujaza watoto ujinga na upuuzi
Wewe ongea hivyo hivyo ila nisikuone katika nyuzi za kumlaumu Bakhresa na Waislam wengine waliofanikiwa kwa "udini". Husda tu ndio zinawasumbua.Biashara ya kufuga majini ?
Tanga wana vyuo vikuu vyao unasikia Zakharau,Jabalrah,Tamta, Shamslmaarif n.k hapo wanazalisha Maustadhi.Tanga tangu zamani Kuna UNIVERSITY mbili ZahRau na kingine maeneo ya Gatundu. Product hatujaziona maana Kama Ni masuala ya kukiuka maadili ya kitanzania wadigo ndio wanaongoza.
Madawa ya kulevya Ni wao
It seems you have some sort of mental health problem.Wewe ongea hivyo hivyo ila nisikuone katika nyuzi za kumlaumu Bakhresa na Waislam wengine waliofanikiwa kwa "udini". Husda tu ndio zinawasumbua.
Waislamu wengi weusi ukiacha hao wahindi na waarabu maisha yao ni tia maji tia maji,sema hao watoto wanaandaliwa kuungana na wenzao wa kismayo kuanza kusumbua duniaWewe ongea hivyo hivyo ila nisikuone katika nyuzi za kumlaumu Bakhresa na Waislam wengine waliofanikiwa kwa "udini". Husda tu ndio zinawasumbua.
Usinione kwa jf ya waislamu hii? Vipi yule mzee wenu wa tanga alieshikwa na madawa ethiopia mnaenda kutoa lini?Wewe ongea hivyo hivyo ila nisikuone katika nyuzi za kumlaumu Bakhresa na Waislam wengine waliofanikiwa kwa "udini". Husda tu ndio zinawasumbua.
Watoto wao watakuja kuuza madafu kama mimi muuza madafu wa Ikulu kama hawatawapeleka shuleni.Nimekuta na si mara moja, mwanamume anamchapa mtoto wake kuwa hataki kwenda "chuo"! /Madarasa. Nikamsihi asimchape mtoto (about4-6 yrs) hivyo. Akasema chuo ni lazima, kwingine wala sitamchapa, akitaka aende shule za kawaida , asipotaka basi, lakini "chuo" atakwenda! Nikaacha fimbo zinatembea! Ni kawaida sana , formal schooling is not their priority! Badilikeni!
My take: Wapelekeni shule watoto. pamoja na "chuo" na formal schooling ni muhimu.
Wengi sasa hivi wauza sembe na madonkeyWatoto wao watakuja kuuza madafu kama mimi muuza madafu wa Ikulu kama hawatawapeleka shuleni.
Waambie waje kuuza madafuWengi sasa hivi wauza sembe na madonkey
Maadili ya dini yanahusikaje kwenye maisha?Nyie mnao wapeleka hizo forma schools mnatuzidi nini, wakati wengi wanao endesha bodaboda hapa Dar niwakutoka mikoani hali zao ngumu na maadili ya dini hawana ustaarabu hawana, wengi kunywa viroba kwenye hizo bodaboda, hao hao walidoma formal school wengi ni wapiga debe hapa magufuri stendi.......sioni tofauti bora nimwandalie mtoto maisha ya akhira ajue Mola wake.