daaaah mi usingizi umekata mkuu nipo macho.......unajua hamna adhabu mbaya kama silent reaction..
..jamaaa nae kafanya vbaya atatongozaje ndani ya nyumba ake tena......akomae tu aone mwisho no way out......japo kama kwel kamsemea lazma itafika siku watateteleka kwa kutokuaminiana
Cc masai dada njoo utoe advice huko mtu kanuna huko
Ajifanye kama na yeye haelewi kitu.., nyie wanawake sijui mnakuwaje.., unakuta mtu kanuna tuu.., shida nini husemi.., kama dozi haitoshi si useme tu ili mtu aingeze bidiii.., huyo jamaa ajitoe akili ajifanye haelewi kitu na yeye..
Ajifanye kama na yeye haelewi kitu.., nyie wanawake sijui mnakuwaje.., unakuta mtu kanuna tuu.., shida nini husemi.., kama dozi haitoshi si useme tu ili mtu aingeze bidiii.., huyo jamaa ajitoe akili ajifanye haelewi kitu na yeye..
Ushauri wa mnywa gongo utaujua tu!
Teh teh teh!
Bwaahaahahaa! hahahaaaa!
We si umesema ni mke wa mtu...???! sasa mbona unafuata fuata watu humu..., una hamu ya mgegedo au.., mbwa wewe...!Ushauri wa mnywa gongo utaujua tu!
Teh teh teh!
Habari za muda huu najua wengi mmelala lakini mkiamka mnipe mawazo ya kumshauri rafiki yangu kwani anadai mpaka mda huu hajalala hata usingizi umeruka kisa mkewe pale kwake kaja mgeni ni wifi ya mke wake yani mke wa mdogo wa mkewe inadaiwa wifi kakorofishana na kaka huko sasa kakimbilia kwa wifi yake yani mke wa jamaa yangu yapata mwezi wa tatu sasa na kinachoangaliwa zaidi ni mtoto mdogo wa huyo dada ambae anatatizo na mme wake kilichompata rafiki yangu ni kumtongoza huyo wifi ya mkewe na huyo dada kakataa sasa rafiki yangu anaisi kukataliwa huko labda mkewe kaelezwa mana mkewe hayupo vizuri kama alivyomzoea ni mtu hana raha na anaonekana anamawazo sana rafiki yangu anamuuliza mkewe kuna nini anasema hakuna kitu je inawezekana wifi kamwambia mke wa rafiki yangu hilo jambo au nini kimempata mana nyumba imekuwa haina amani ghafla wana jf tumsaidie huyu jamaa kuna jambo gani hapo linaendelea na je akiwa kajua hilo majibu yake ni nini?
Mkuu ina maana gani kusingizia watu aisee? Sasa kama ni wewe ndo umeyavurunda si useme tukusamehe bure?!!! Na nyie huwa mnajidai vijogoo mno wacha mkome, mgeni amekuja kwako wewe unataka kupita naye! kazi kweli kweli!!
Ushauri wa mnywa gongo utaujua tu!
Teh teh teh!
Ajifanye kama na yeye haelewi kitu.., nyie wanawake sijui mnakuwaje.., unakuta mtu kanuna tuu.., shida nini husemi.., kama dozi haitoshi si useme tu ili mtu aingeze bidiii.., huyo jamaa ajitoe akili ajifanye haelewi kitu na yeye..