kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Kuna demu ambaye tulikuwa Tunapendana naye saana na kwa bahati nzuri na mbaya nilimpiga binti huyo baada ya mimi kumpa mimba binti huyo sikuwa na chaguo lingine zaidi ya kupanga mipango ya kumuoa binti huyo kwa bahati mbaya mimba ile iliaribika.
Kuaribika kwa mimba hiyo kuliniingiza katika matatizo makubwa upande wa kwao na huyo binti wazazi wake walidai kuwa mimi ndo nilimuwekea madawa mtoto wao mpaka mimba yake ikatoka. Nilijaribu kujijitetea lakini ilishindikana mpaka familia yangu walingilia kati mambo yakaisha kifamilia, tulilipa pesa na vitu mbali mbali. Tukawa tumeachana na mwanadada huyo.
Baada ya muda leo nimekuja kupewa habari na watu kuwa rafiki yangu wa damu kabisa ndo anataka kumuoa mwanadada huyo. Akili yangu ndo inajiuliza maswali mengi inawezekana jamaa huyo ndo alimuwekea huyu binti dawa katika chakula au vipi? Maana demu alikuwa anafika home anapika chakula kama sipo ananiachia kama nipo tunakula wote.
Au walikuwa wanapendana before?
Nilivyopata hayo matatizo huyu bwana alinikimbia kwa kisingizio eti tunaweza kufungwa wote kwa hiyo akaamua kutafuta nyumba yake tulikuwa tunalala wote kipindi cha nyuma hapo.
Na baada ya kuhama kwake ule urafiki wake na mimi ulipungua ghafla.
Hii ni plan au vipi, maana sielewi!
Kuaribika kwa mimba hiyo kuliniingiza katika matatizo makubwa upande wa kwao na huyo binti wazazi wake walidai kuwa mimi ndo nilimuwekea madawa mtoto wao mpaka mimba yake ikatoka. Nilijaribu kujijitetea lakini ilishindikana mpaka familia yangu walingilia kati mambo yakaisha kifamilia, tulilipa pesa na vitu mbali mbali. Tukawa tumeachana na mwanadada huyo.
Baada ya muda leo nimekuja kupewa habari na watu kuwa rafiki yangu wa damu kabisa ndo anataka kumuoa mwanadada huyo. Akili yangu ndo inajiuliza maswali mengi inawezekana jamaa huyo ndo alimuwekea huyu binti dawa katika chakula au vipi? Maana demu alikuwa anafika home anapika chakula kama sipo ananiachia kama nipo tunakula wote.
Au walikuwa wanapendana before?
Nilivyopata hayo matatizo huyu bwana alinikimbia kwa kisingizio eti tunaweza kufungwa wote kwa hiyo akaamua kutafuta nyumba yake tulikuwa tunalala wote kipindi cha nyuma hapo.
Na baada ya kuhama kwake ule urafiki wake na mimi ulipungua ghafla.
Hii ni plan au vipi, maana sielewi!