Rafiki yangu mke wake ana HIV, nini afanye?

Rafiki yangu mke wake ana HIV, nini afanye?

kwani hapo alipokwenda kupima hawatoi ushauri? au mnahisi humu jf ni bora kuliko ushauri wa madaktari? unless ungeandika kua hospitali kashauriwa hivi na hivi na sisi tupate pakuanzia
 
Anyway akae na mkewe washauriane., kwani muda si mrefu wanavyoendelea kufanya mapenzi lazima wataambukiza labda kama watakubaliana kutumia kinga always.
Changamoto ni jee kama watakubaliana kutumia kinga siku zote je wakihitaji mtoto ambae anaweza kuzaliwa bila HIV wanafanya aje mapenzi?
Anyway ningekuwa mimi ningemshawish tuu mke wangu tuachane
 
Duuh!!

Kila siku tunashauliwa kupima kabla ya kuoana ila ubishi mbele.

 
kwani hapo alipokwenda kupima hawatoi ushauri? au mnahisi humu jf ni bora kuliko ushauri wa madaktari? unless ungeandika kua hospitali kashauriwa hivi na hivi na sisi tupate pakuanzia
....Hospital hawawezi kushauri muachane, hiyo siyo kazi yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wadau
msaada wa haraka unahitajika.

nina rafiki yangu wa karibu amekuja kuniomba ushauri nini afanye?

ana mwezi mmoja na wiki1 tangu afunge ndoa na binti mdogo wa miaka 15,binti huyu aliambukizwa hiv na mama yake tangu akiwa mdogo,lakn binti huyu hakuyajua haya.kwani mama yake alimficha na hakutaka kumueleza mtu yeyote siri hii.

sasa leo waliamua kwenda maabara kupima u.t.i,walipofika mke akataka apime u.ti,malaria na ukimwi ikabidi jamaa akubali

majibu yalipotoka mke akaonekana ameathirika na virusi vya ukimwi

jamaa alipoona ivo ikabidi apime na yeye,majibu yakaja kwamba hana hiv.

akamuuliza dr.je ikiwa nimeambukizwa ndani ya mwez mmoja na wiki1 hiki kipimo chenu kinaonesha,daktari akamjibu hapana bali kipo kipimo kingine kinachoweza kuonesha ndani ya muda huo,jamaa akapimwa tena akaonekana yupo fit.

sasa amekuja hapa kwangu nipo nae sasa hivi anaomba nimsaidie ushauri nini afanye,anadai mke wake anampenda sana lkn pia anaogopa kuhusu afya yake..nimeshindwa kumshauri chochote nimeona niombe ushauri kwenu kwa kuwa anafuatilia moja kwa moja hapa muweze kumsaidia ushauri.

msaada wenu
Bora unge edit ata uo umri kama unataka ushauri vinginevyo labda kama umeamua kuleta awareness kwamba kuna watoto wa shule za msingi nasekondari bado wanaolewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo rafiki yako ana miaka mingapi? Mke miaka 15 hata kama ni tamaa, huyo kazidisha aisee!!
 
Habari zenu wadau
msaada wa haraka unahitajika.

nina rafiki yangu wa karibu amekuja kuniomba ushauri nini afanye?

ana mwezi mmoja na wiki1 tangu afunge ndoa na binti mdogo wa miaka 15,binti huyu aliambukizwa hiv na mama yake tangu akiwa mdogo,lakn binti huyu hakuyajua haya.kwani mama yake alimficha na hakutaka kumueleza mtu yeyote siri hii.

sasa leo waliamua kwenda maabara kupima u.t.i,walipofika mke akataka apime u.ti,malaria na ukimwi ikabidi jamaa akubali

majibu yalipotoka mke akaonekana ameathirika na virusi vya ukimwi

jamaa alipoona ivo ikabidi apime na yeye,majibu yakaja kwamba hana hiv.

akamuuliza dr.je ikiwa nimeambukizwa ndani ya mwez mmoja na wiki1 hiki kipimo chenu kinaonesha,daktari akamjibu hapana bali kipo kipimo kingine kinachoweza kuonesha ndani ya muda huo,jamaa akapimwa tena akaonekana yupo fit.

sasa amekuja hapa kwangu nipo nae sasa hivi anaomba nimsaidie ushauri nini afanye,anadai mke wake anampenda sana lkn pia anaogopa kuhusu afya yake..nimeshindwa kumshauri chochote nimeona niombe ushauri kwenu kwa kuwa anafuatilia moja kwa moja hapa muweze kumsaidia ushauri.

msaada wenu
Waende hospitali apate ushauri nasaha na jinsi watakavyoishi kama mmoja hajaathirika. Na ataanzishiwa dawa za kufubaza vvu na atakuwa anahudhuria kliniki kwa dawa na vipimo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wadau
msaada wa haraka unahitajika.

nina rafiki yangu wa karibu amekuja kuniomba ushauri nini afanye?

ana mwezi mmoja na wiki1 tangu afunge ndoa na binti mdogo wa miaka 15,binti huyu aliambukizwa hiv na mama yake tangu akiwa mdogo,lakn binti huyu hakuyajua haya.kwani mama yake alimficha na hakutaka kumueleza mtu yeyote siri hii.

sasa leo waliamua kwenda maabara kupima u.t.i,walipofika mke akataka apime u.ti,malaria na ukimwi ikabidi jamaa akubali

majibu yalipotoka mke akaonekana ameathirika na virusi vya ukimwi

jamaa alipoona ivo ikabidi apime na yeye,majibu yakaja kwamba hana hiv.

akamuuliza dr.je ikiwa nimeambukizwa ndani ya mwez mmoja na wiki1 hiki kipimo chenu kinaonesha,daktari akamjibu hapana bali kipo kipimo kingine kinachoweza kuonesha ndani ya muda huo,jamaa akapimwa tena akaonekana yupo fit.

sasa amekuja hapa kwangu nipo nae sasa hivi anaomba nimsaidie ushauri nini afanye,anadai mke wake anampenda sana lkn pia anaogopa kuhusu afya yake..nimeshindwa kumshauri chochote nimeona niombe ushauri kwenu kwa kuwa anafuatilia moja kwa moja hapa muweze kumsaidia ushauri.

msaada wenu

Sa anampenda vip huk anaogopa afya Ya mpenziwe
 
Ukiona mdau anasema kuna jamaa au rafiki yangu ni hivi na hivi ujue ni Yeye mwenyewe!

Kwan ukisema ni wewe mwenyewe ndio unahitaji ushauri kuna shida?

sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
 
Kwa kuwa wanapendana waendelee kuishi wakigumia kinga. Pindi watapohitaji mtt watumie njia ya kupandikiza.
Na sio rahisi mtt kuzaliwa na maambukizi ikiwa mama ataanza clinic mapema na kujiunga PMCTC( prevention from mother to child clinic). Mama wa binti hajamtendea haki binti na kijana. Hatahivyo sio kawaida mtt kufikisha miaka 15 hajajijua km ni mgonjwa, clinic watoto wote wanaambiwa na wanajitambua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wameshangazwa mwanamke kuolewa akiwa na miaka 15.

Wamehisi ni mtoto bado,
Ana mwili mkubwa utafikiri ana miaka 25 kumbe ni 15.....


Hahahaaaa nimehisi tu.
 
Kwanza Nakereka na hizi post mambo ya familia need to go to proffessional councilors sio kuleta no wonder hawa ni wale vijana wanaovaa mlegezo kamdate mwanafunzi mwenzake muathirika anasema ni mke wa rafiki yake.


Hivi mtoto wa miaka 15 awe Mke?????? Huyo anahtaji kufungwa
 
Back
Top Bottom