engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
mungu ametoa na pia ametwa jina lake liabudiwe
poleni kwa mcba
poleni kwa mcba
Hivi bado nina kitu ambacho naweza kuofa kweli??
Babu DC
Retired Maj Gen (1947)
Rafiki yangu akiwa ktk starehe ya dunia waswahili wanasema kukata gogo hamadi ukuta wa choo passport size ukashuka na kumkandamiza rafiki yangu huko mbagala ukuta ulivyo shuka na choo kikashuka nacho ni athari za mafuriko ya jiji. Nasema kwamba alikuwa anakata gogo au kimba kwa sababu wkt wasamalia wema wanamwopoa suruali wameikuta magotini na amefariki tunafanya taratibu za kuzika leo.