Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,992
Chai ya leo ya moto.
uchochezi!!Usikute hapo nae girlfriend wako alikuwa anachezewa kidevu chake cha chini na tozi flani.
Ndukiiiii♂️
♂️
♂️
Ndio maandalizi yenyewe ya viwounder vya kufyatua watoto.Hivi nyie malofa mtajenga viwanda lini???
Mtanyooka tuuNdio maandalizi yenyewe ya viwounder vya kufyatua watoto.
insta babe we hujui tu tunavyotia huruma tukiwa tunanyimwa.. 😂😂😂Dah
Ila wanaume nyie
Hapana insta babe sio kwa rafiki wa mpenzi wako jamaniinsta babe we hujui tu tunavyotia huruma tukiwa tunanyimwa..
huyo rafiki ana roho nzuri sana alimuonea huruma mshkaji ..aliona jamaa anavyoteseka![]()
kweli insta babe hapo huyo msichana kafeli...Hapana insta babe sio kwa rafiki wa mpenzi wako jamani
kweli insta babe hapo huyo msichana kafeli...
ila bado nipo naye kwann alikuwa anambania mchizi hayo ndiyo madhara yake..
alafu kingine kikubwa ni kujifunza kuseparate marafiki na mpenzi wako yani mahusiano yao yabakie kwenye ishemeji tuuu na si vinginevyo
kuruhusu rafiki yako kuwa msuluhishi mkubwa wa mahusiano yako haya ndio matokea yake.. mkigombana kidogo unamruhusu aongee na bebe hayo ndio madhara sasa...
kumbe dada wa watu ana huruma bwanaakamhurumia mshkaji
saaaaaafi na ibaki hivyohivyo insta babe usije wamix hao watu wawili...Mm ndio mana rafiki yangu ni rafiki yangu sio rafiki wa mbebez wangu
Hata kama umenyimwa unavumilia tu na huyo rafiki nae ni nyoka kujilengesha kwa shemeji yake ndio mana kaliwa
saaaaaafi na ibaki hivyohivyo insta babe usije wamix hao watu wawili...
wanaume huwa tunakuwa wadhaifu sana hasa tukiwa desperate na kitu fulani
sasa huyo rafiki akatumia huo mwanya na inaonekana alikuwa anamtaman shemeji yake kitambo au wote walikuwa wanatamaniana
alafu sasa hapo ndio tayar umeshakuwa mchezo huo watarudia na kurudia na kurudia...Nyie viumbe akili zenu insta babe mnazijua mwenyewe tatizo letu sisi ni ile kusimuliana story ndio kilichomponza huyo mbebez wa watu