Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 32,007
- 64,050
Hebu nicheki kwenye hii namba.Unavuta bangi au madawa ya kulevya !?
0692507838
Ulizia Saidi Nzi mfukua tope
Hebu nicheki kwenye hii namba.Unavuta bangi au madawa ya kulevya !?
Umempa matusi ya kiutu uzima sana chieF....Hebu nicheki kwenye hii namba.
0692507838
Ulizia Saidi Nzi mfukua tope
Utoto raha sana.Hii ni wiki Sasa jaman nimekuwa nikipokea txt za I miss you , uko wap sikuhiz , njoo kwangu !!
Hizo zote nimeogopa kujibu kwasababu nimehisi ananitaka kimapenzi na mengine naona Hata haibu kuandika humu, lakini naomba ushauri je nipite nae jaman au nifanyeje !?
Kweli we ni kilaza unapost ujingaHii ni wiki Sasa jaman nimekuwa nikipokea txt za I miss you , uko wap sikuhiz , njoo kwangu !!
Hizo zote nimeogopa kujibu kwasababu nimehisi ananitaka kimapenzi na mengine naona Hata haibu kuandika humu, lakini naomba ushauri je nipite nae jaman au nifanyeje !?
Pita naeHii ni wiki Sasa jaman nimekuwa nikipokea txt za I miss you , uko wap sikuhiz , njoo kwangu !!
Hizo zote nimeogopa kujibu kwasababu nimehisi ananitaka kimapenzi na mengine naona Hata haibu kuandika humu, lakini naomba ushauri je nipite nae jaman au nifanyeje !?
Imejilengesha yenyewe ausio!! Hakuna namna ni kuisugua tu!Pita nae
Nashangaa anailetea uziImejilengesha yenyewe ausio!! Hakuna namna ni kuisugua tu!
MkubaliHii ni wiki Sasa jaman nimekuwa nikipokea txt za I miss you , uko wap sikuhiz , njoo kwangu!!
Hizo zote nimeogopa kujibu kwasababu nimehisi ananitaka kimapenzi na mengine naona Hata haibu kuandika humu, lakini naomba ushauri je nipite nae jaman au nifanyeje !?
Umesema kweli kuna watu wapuuzi sana kama huyu RichardKuna siku humu JF tutakuja kuulizwa ….eti “wakuu mavi yamenibana, ninye au nisinye?”
Thread za kitoto zimezid sana…..au ndo akili za Vijana wetu nini wa siku hizi?
Kuuliza SI ujinga Bali anaeulizwa na kuuliza swali ndio mjinga .. usikubali kuwa mjingaUmesema kweli kuna watu wapuuzi sana kama huyu Richard
Wala usibishe, ulichouliza ni cha kijinga. Jaribu ku-grow up a bit. Hata ile thread yako ya sijui girlfriend/mchumba kapata scholarship na kakuacha haina maturity content yeyote. Better uwe msomaji rather than typing low content threads. Ni hayo tu mkuu.Kuuliza SI ujinga Bali anaeulizwa na kuuliza swali ndio mjinga .. usikubali kuwa mjinga
Wanaume ni machine. Atakayeingia 18 piga halafu mwambie shetani amekupitia. Fisi haachi mfupa.Kuuliza SI ujinga Bali anaeulizwa na kuuliza swali ndio mjinga .. usikubali kuwa mjinga