RADIOLOGY AT CUHAS BACHELOR LEVEL

RADIOLOGY AT CUHAS BACHELOR LEVEL

Hata MUHAS kuna Shahada zimeondolewa kwenye udahili mwaka huu, mfano ni Bsc. Microbiology na Zile Sahada za Maabara tofauti na General Lab (kama vile Hematology)
 
Vyuo vingi huanzisha kozi kisanii mnoo, unakuta hawana rasimali halisi za kufaa kuanzisha hiyo kozi lakini kiujanja wanaanzisha, na kwa kuwa TCU bado wako dhaifu katika kuratibu na kusimamia ubora ipasavyo wa vyuo, basi hiyo inakuwa ni advantage kwa vyuo ni majanga kwa wadahiliwa.
 
Hata MUHAS kuna Shahada zimeondolewa kwenye udahili mwaka huu, mfano ni Bsc. Microbiology na Zile Sahada za Maabara tofauti na General Lab (kama vile Hematology)
Hizo za lab Waliomaliza Intern Mwaka jana walisema wanazifuta hawadahili tena
 
Hizo za lab Waliomaliza Intern Mwaka jana walisema wanazifuta hawadahili tena
Wamefanya jambo la maana, zilikua zinawafanya waonekane wanyonge sana, unajikuta wewe umebobea kipande kimoja na unaenda kushindana kwenye soko na wenzako waliosoma kila kitu pamoja na hicho ulichobobea wewe.
 
Wamefanya jambo la maana, zilikua zinawafanya waonekane wanyonge sana, unajikuta wewe umebobea kipande kimoja na unaenda kushindana kwenye soko na wenzako waliosoma kila kitu pamoja na hicho ulichobobea wewe.
Kichekesho kilikkuwa kwenye Intern wakija hizi RRH wanaambiwa waritate idara zote
 
Back
Top Bottom