GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,533
- 127,537
Sidhani kama kuna upuuzi hapo hata ukiita
Tbc bado inabaki kua na maana ileile ni radio taifa
Sasa kama hakuna matatizo kuiita hivyo unadhani hayo mabadiliko ya kutoka RTD kuja TBC Taifa yalikuwa na maana gani labda? Mkuu nilidhani baada ya kukukosoa hapo basi ' ungejiongeza ' ili ukirudi uje na jibu la kimakini zaidi lakini bahati mbaya sana umekuja na jibu lako la hovyo hovyo ambalo pengine linaashiria pia jinsi gani na Wewe inawezekana ukawa ni wa hovyo hovyo vile vile.