Habari wakuu!! Napata tabu binafs kuamini kua radio tanzania ni redio ya Taifa kwa jinsi wanavyoenda hii ndo redio inyoendeshwa kwa kodi zetu lakini haina faida na ss kwa ss bunge limeanza na wao ndo wenyedhamana ya kutujuza nn kinachoendelea bungeni tangu majuzi binafsi siwapti kama mmeshindwa si muuwaachie wanao weza warndeleee mnang'ang'ania nini kuwazuia wengine wakati nyie hamjitoshelezi. Tutendeeni haki kama mmedhindwa tokeni