Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
OK,
Wambie hiyo ni comment moja; JF kuna comments zaidi ya milioni 4.8; na pia kama wanaperuzi JF, basi wasome comment mbili au tatu hapa: Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...
Endeleni kusikiliza mpate darsa.
Mkuu wangu, nimeanza kuisikiliza Radio Imaan baada ya jamaa kuanzisha topic kupitia mtandaoni ( Radio Imaan - MOROGORO - Listen Online ) hivyo yawezekana kweli haikuwa kama mwanzisha hoja aliandika.Mkuu Invisible,
Bahati mbaya umejibu bila kufanya utafiti mleta mada kaleta huu uzi kishabiki kitu ambacho kibaya sana.
Mie nasikiliza hiki kipindi alichosema mchangia alikuwa anasema dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana akatoa mfano kasoma maoni JF kuna mtu kasema Waislam hawana akili za uongozi wala hakusema JF inaleta uchochezi.
Mkuu tatizo tunakuwa na ushabiki wa kidini wala Radio hawana bifu lolote na JF members wa JF ndio wanakuza mambo.
Radio imani wanaibana serikali kwenye madai yao.
Nadhani umeona ulivyojibiwa hapa chini.......mleta mada kaleta huu uzi kishabiki kitu ambacho kibaya sana.
....
Haya maneno ya kipuuzi kabisa mleta huu uzi kaamua kuteka akili za watu na kafanikiwa.
Something is very wrong somewhere. Hivi sisi ambao walau tuna elimu ya kupambanua mambo tunaposhiriki propaganda bila kuzipembua tunatarajia nini kwa ambao hawakubahatika kuipata fursa hii?nipo morogoro. nasikiliza kwa umakini redio imaan sikurupuki
thanks, mkuuMkuu wangu, nimeanza kuisikiliza Radio Imaan baada ya jamaa kuanzisha topic kupitia mtandaoni ( Radio Imaan - MOROGORO - Listen Online ) hivyo yawezekana kweli haikuwa kama mwanzisha hoja aliandika.
Lakini, pamoja tunaweza kusaidiana kuwaelimisha waamini wa dini zote pindi wanapoenda kombo. Wanafanya vema kama wanasoma maoni ya JF na wanatoa credit, lakini wasiishie kusoma yale mabaya tu; kuna mazuri, kuna wanachama wenye mitizamo chanya na wenye mitizamo hasi.
Rai yangu ni vyombo vya habari vinavyohudumia offline community kuwa makini vinapowasilisha hoja kwa wananchi kwani wengine wanayachukulia maoni ya walio studio kuwa SAHIHI bila kupata muda wa kuyachambua kama tunavyochambua hoja humu ndani.
Again, I may be wrong!
:ranger:ray:
nipo morogoro. nasikiliza kwa umakini redio imaan sikurupuki
. redio imaan inawachoma sana wakiristo na BAKWATA kwani wanaona maslahi yao yanateterekaKama hizi hapa hawazisomi.. Wanazipotezea ..zinawachoma.. Nawashauri kwa vile wanaitembelea JF wajiunge but nina uhakika wapo humu JF
rtz. tuendelee kusikiliza. sasa hivi anaongea Mkuu wa VIJANA WA kiislam anafungukaMkuu kama upo morogoro na mie nipo magu matangazo yanakuwa tofauti?
Think outside the box,kwani kuna uongo gani kwa walicho ongea?
Hapa jf kuna coment kibao za kuchochea udini na mods hawajazifuta au kuchukulia hatua wanao husika.
NI JOPO LA WASOMI WA KIISLAM LILIOPO STUDIO. NI WAHITIMU WA UDMS, SUA PIA NI WALIMU WA VYUO VIKUU NCHINI
Imesemwa moja ya koment iliyondikwa JamiiForums kwamba uchochezi wa kidini.
Ilidai kwamba waislam wanadanganya kwamba ukikojolea kitabu cha Quran ni kosa..
MY TAKE. SASA VITA VIMEHAMISHIWA KATI YA VYOMBO VYA HABARI KIMOJA HADI CHENGINE. KESHO UTASIKIA REDIO ZOTE ZA KIISLAM WATAIMULIKA JAMIIFORUMS
heshima mmeanza kutuvunjia nyie. Na imani zenu za mitaaniJamani mkumbuke izo kejeli zenu kwa viongozi wetu wa dini co zao tu ni zetu pia!,naombeni tuheshimiane na imani zetu tusije tukageuza apa jamvi la matusi!,mpaka inafkia mtu et anachangia "watu wengine na imani za kuunga unga" modes post za aina hii zinatupandisha hasira!!!!!!!,au na ss tuanze kurudisha matusi ili kiwe nn???!jamani naomba tuheshimiane..
hata ukiwa muislam jf unaonekana Kiroja. anadai mbona serekali ilichomwa kiwanda cha mashafu na wakiristo huko Mwenge serekali ilisema hilo tatizo dogo tu. lkn kanisa linaambiwa ndio nembo ya taifakwani kuna uongo gani kwa walicho ongea?
Hapa jf kuna coment kibao za kuchochea udini na mods hawajazifuta au kuchukulia hatua wanao husika.
Nani ambae hajui hilo?
Ni majuzi tu watu walikuwa wanasikitika kwanini polisi hawakuua walau waislam kumi kwenye maandamano.
Huo sio uchochezi?
. redio imaan inawachoma sana wakiristo na BAKWATA kwani wanaona maslahi yao yanatetereka
lkn mbona wakiristo wanaipiga vita? hata Chadema nayo wanaipiga vita?kama inapambana na ccm basi si tuisadie?Tatizo watu tunapenda kusikia vitu tunavyovipenda...Redio Imaan wanapamba na serikali kama jamii zingine zinavyopambana kudai haki zao.