mr.dominick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 244
- 28
Ongea msimamo wako ni upi mkuu sio unaweka bandiko lisilofafanua chochote!
justice and truth
bila kuangalia kasema nani???
Ongea msimamo wako ni upi mkuu sio unaweka bandiko lisilofafanua chochote!
Jamani mkumbuke izo kejeli zenu kwa viongozi wetu wa dini co zao tu ni zetu pia!,naombeni tuheshimiane na imani zetu tusije tukageuza apa jamvi la matusi!,mpaka inafkia mtu et anachangia "watu wengine na imani za kuunga unga" modes post za aina hii zinatupandisha hasira!!!!!!!,au na ss tuanze kurudisha matusi ili kiwe nn???!jamani naomba tuheshimiane..
Tatizo watu tunapenda kusikia vitu tunavyovipenda...Redio Imaan wanapamba na serikali kama jamii zingine zinavyopambana kudai haki zao.
Hii radio bado haijafungiwa tu?
JF ni nani??hebu fungukeni mjiulize chombo kama JF kinakuwa na watu milioni wote wana mawazo tofauti iweje u generalize simply kwakuwa comment imetoka jf??Dah waislamu duniani bado wanasafari ndefu kwakuwa naona waislam wote akili zao zina fanana!Na tatizo hawataki kujikubali na hawataki kubadrika japo kuna waislamu wenye mitazamo tofauti na dini zao na ni waelewa wako neutral!ila wengi siwaelewa kabisa!