Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,023
- 1,316
Leo hii kwenye kipindi chao cha kutoka magazeini,wamesoma magazeti yanayosifia mkutano wa Magufuli wa Mwanza.Hivi imenunuliwa hii radio?
Leo hii kwenye kipindi chao cha kutoka magazeini,wamesoma magazeti yanayosifia mkutano wa Magufuli wa Mwanza.Hivi imenunuliwa hii radio?
Ulitaka wasisome,mbna uzi wako haueleweki
Leo hii kwenye kipindi chao cha kutoka magazeini,wamesoma magazeti yanayosifia mkutano wa Magufuli wa Mwanza.Hivi imenunuliwa hii radio?
Leo hii kwenye kipindi chao cha kutoka magazeini,wamesoma magazeti yanayosifia mkutano wa Magufuli wa Mwanza.Hivi imenunuliwa hii radio?
Ulikuwa hujui? Siku nyingi wanamnadi magufuli lakini ndio hivyo tena limeshabuma.
Star TV waliunganisha vipande vya mikutano na kuita ni mafuriko ya kihistoria, ndio ujue siku ya kufa nyani miti yote huteleza
Aisee watu mna akili sana.Yesu awabariki jamani.Tumsifu YESU Kristu