Radio call kuunganisha ofisi zilizopo sehemu tofauti tofauti

Changamoto2015

JF-Expert Member
Oct 1, 2012
773
314
Wana JF,

Natumaini mu wazima wa afya tele. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nawaombeni wanye kujua hatua zipi natakiwa kuzifuata ili kuweza kuunganisha ofisi zaidi ya moja kwa mawasiliano ya Radio call / walkie talk.
Je kuna taratibu zozote za kufuata kisheria kama vile kupitia TCRA kabla sijaruhusiwa kutumia hivi vifaa kwa ajili ya mawasiliano?
Usalama wake upoje especially kwenye usiri? Haziingiliwi kirahisi na system intruders wanaoweza kuleta madhara especially kwenye mawasiliano yanayohusu siri za wateja ( client confidential information)?
Kwa upande wa gharama upoje?

Asanteni sana
 
Radio caller sio salama kabisa mkuu Yani apo spy ni easy kutengeneza tuned circuit ya specific frequency mnayotumia na kunasa mawasiliano yenu, Upo idara ipi kama huhitaji usiri sana at least tumia hawa local network provider some how wanaa security nzuri but thing to note you are not safe enough
 
Wana JF,

Natumaini mu wazima wa afya tele. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nawaombeni wanye kujua hatua zipi natakiwa kuzifuata ili kuweza kuunganisha ofisi zaidi ya moja kwa mawasiliano ya Radio call / walkie talk.
Je kuna taratibu zozote za kufuata kisheria kama vile kupitia TCRA kabla sijaruhusiwa kutumia hivi vifaa kwa ajili ya mawasiliano?
Usalama wake upoje especially kwenye usiri? Haziingiliwi kirahisi na system intruders wanaoweza kuleta madhara especially kwenye mawasiliano yanayohusu siri za wateja ( client confidential information)?
Kwa upande wa gharama upoje?

Asanteni sana

Kama unahitaji mawasiliano katika umbali mrefu kati ya kituo na kituo unaweza kutumia HF Radios za masafa marefu na ukaweka encryption option ili mawasiliano yako yasiingiliwe. Zipo radio za kuaminika kama BARRETT HF (Medium cost) na hata VERTEX STANDARD (Low Cost).

Kama mawasiliano ni within the same towm unaweza kutumia VHF au UHF radios za masafa mafupi na ukaweka encryption ili mawasiliano yasiingiliwe. Unaweza kutumia MOTOROLA au VERTEX STANDARD.

Kwa option yoyote unahitaji upate Frequency toka TCRA na pia kulipia annual fees.

Kwa taarifa Radio Calls za sasa ni most secured ukilinganisha na mawasiliano mengine kama utaweka encryption. Na ndizo zinatozotumika Jeshini, TISS, Police nk.

Kama utahitaji ushauri zaidi PM me.
 
Kama unahitaji mawasiliano katika umbali mrefu kati ya kituo na kituo unaweza kutumia HF Radios za masafa marefu na ukaweka encryption option ili mawasiliano yako yasiingiliwe. Zipo radio za kuaminika kama BARRETT HF (Medium cost) na hata VERTEX STANDARD (Low Cost).

Kama mawasiliano ni within the same towm unaweza kutumia VHF au UHF radios za masafa mafupi na ukaweka encryption ili mawasiliano yasiingiliwe. Unaweza kutumia MOTOROLA au VERTEX STANDARD.

Kwa option yoyote unahitaji upate Frequency toka TCRA na pia kulipia annual fees.

Kwa taarifa Radio Calls za sasa ni most secured ukilinganisha na mawasiliano mengine kama utaweka encryption. Na ndizo zinatozotumika Jeshini, TISS, Police nk.

Kama utahitaji ushauri zaidi PM me.

Asante sana mkuu. Kwa kifupi nilitaka kuunganisha mawasiliano katika ofisi tatu, mbili zipo Dar na moja ipo mkoani ruvuma. Sasa nikawa naangalia upande wa gharama nikahisi mfumo huu wa redio call utakuwa rahisi zaidi maana mtu hatahitaji mambo ya voucher kupata airtime.
Mbali na hizo devices unaweza kujua cost breakdown (roughly) ya vifaa vinavyohitajika kutengeneza ofisi moja?
Asante sana!
 
Asante sana mkuu. Kwa kifupi nilitaka kuunganisha mawasiliano katika ofisi tatu, mbili zipo Dar na moja ipo mkoani ruvuma. Sasa nikawa naangalia upande wa gharama nikahisi mfumo huu wa redio call utakuwa rahisi zaidi maana mtu hatahitaji mambo ya voucher kupata airtime.
Mbali na hizo devices unaweza kujua cost breakdown (roughly) ya vifaa vinavyohitajika kutengeneza ofisi moja?
Asante sana!

Unaweza kuunganisha ya Mkoani na HQ DSM kwa kweka HF. Weka Budget ya $ 10,000 including installations.

DSM unaweza kuweka VHF na Repeater. Bajet $ 10,000.00 with installation. Baada ya hapo huitaji Airtime tena.

Hata hivyo unaweza kupata radios kwa bei ya chini zaidi Chinese copy au unreliable brands etc. Just be careful.

Unaweza kuwasiliana na Kampuni za Redio Calls kama Aglex wako opposite Victoria Service Station.
 
Umejaribu kuangalia voip? Kupiga simu kwa kutumia internet?

Unaweza fanya configuration kwa cost ndogo na pia malipo yanaweza yasiwe makubwa kama hio.
 
Back
Top Bottom