Simu ya mkononi inakuwa katika hali ya kuwasiliana na mnara wa mtandao husika hata kama huitumii,ndio mana unaona kiwango cha network katika simu yako,So kunakuwa na radio waves ambazo zinakuwa received na simu yako.SO KAMA SIMU ITAKUA ON KAMA RADI ITAFUATA MKONDO WA WAVES HIZO SIMU YAKO INAWEZA IKADHURIKA MARANYINGINE HATA WEWE ULIYE ISHIKA.(inashauriwa kuzima simu yako kipindi cha maradi makali).