Radhi ya baba na mama ndani ya safari yangu ya Saudia

Aah!! Huyo Khantwe we muache tu, manake alichonifanyia jana katu sitakaa nimsahau! Kanikana mbele ya kamdamnasi; seuze JF!! Sijui nihamishie penzi langu kwa cute b ! cute b, mwenzako nanyeshewa mvua ya mawe huku nje, na pumu imenibana kiasi namuona Zirail ananinyemelea kwa mikogo! Nifungulie mlango tafadhali, nijihafadhi japo kwa muda hadi mvua ya mawe itakapotulia na kurejea hali ya kawaida! Amini usiamini, mbingu imeandaliwa kwa watu aina yako; sema AMEEEN!
Duh!
 
Aah!! Huyo Khantwe we muache tu, manake alichonifanyia jana katu sitakaa nimsahau! Kanikana mbele ya kamdamnasi; seuze JF!! Sijui nihamishie penzi langu kwa cute b ! cute b, mwenzako nanyeshewa mvua ya mawe huku nje, na pumu imenibana kiasi namuona Zirail ananinyemelea kwa mikogo! Nifungulie mlango tafadhali, nijihafadhi japo kwa muda hadi mvua ya mawe itakapotulia na kurejea hali ya kawaida! Amini usiamini, mbingu imeandaliwa kwa watu aina yako; sema AMEEEN!
Poleeee mzee!
 
Aah!! Huyo Khantwe we muache tu, manake alichonifanyia jana katu sitakaa nimsahau! Kanikana mbele ya kamdamnasi; seuze JF!! Sijui nihamishie penzi langu kwa cute b ! cute b, mwenzako nanyeshewa mvua ya mawe huku nje, na pumu imenibana kiasi namuona Zirail ananinyemelea kwa mikogo! Nifungulie mlango tafadhali, nijihafadhi japo kwa muda hadi mvua ya mawe itakapotulia na kurejea hali ya kawaida! Amini usiamini, mbingu imeandaliwa kwa watu aina yako; sema AMEEEN!
"Pale unapotangaza kugombea ubunge kwenye jimbo ambalo tayari lina mbunge.
Na mbaya zaidi unayemtangazia ndiye mmiliki (mbunge) mwenyewe wa jimbo hilo." Alisikika mtu mmoja akisema.

Wewe si ndiyo ulikuwa na ugomvi na mimi usioisha. That's karma!!
 
"Pale unapotangaza kugombea ubunge kwenye jimbo ambalo tayari lina mbunge.
Na mbaya zaidi unayemtangazia ndiye mmiliki (mbunge) mwenyewe wa jimbo hilo." Alisikika mtu mmoja akisema.

Wewe si ndiyo ulikuwa na ugomvi na mimi usioisha. That's karma!!
Ugomvi tena??? Hivi ulinidokeza ? Mbona katika list sioni??
 
Ndg Mpendwa Edyl.. usijali ntakupa ilmu na imani yenye nguvu:-
Lugha ya kiarabu Ina wasaa na mizizi na matawi mengi...(haka ka lugha ketu kalizaliwemo ktk uarabu/mashafu)!!
Neno HARAM Ina maana kadhaa.. moja wapo NI hi inayotumika kibiashara Yaani hii kinyume ya halali!!

Sasa tuje ktk mada na masuali yako!! KM:-mimi nikisema Ndg Edelyn Haram kuingia nyumbani kwangu !! Hivyo Nina maanisha hairuhusiwi kuingia kwa Sababu Kuna maharem zangu (Wake zangu,Mali zangu,Watoto wangu na Siri zangu za ndani)!! Huwezi ingia ndani ya nyumba yangu Hadi Mimi nikuruhusu...na kuzingatiwa ujio wako (Nia)

Mfano wa pili:- Serekali zote (nchi zote) huwa zina sehemu na maeneo nyeti na za Siri huwezi kutembelea au kuingia pasipo na Kibali maalumu na ukaguzi wa kina kuhakiki Sababu za kuingia humo!! (Hivyo wamezuia Yaani wane haramisha udahili wa holela) Haram kuingia...

Ndiyo maana Mwenyeezzi Mungu kapiga marufuku mambo ya Maasi; ovyo na maovu na uchafu kuingia maeneo ya Makkah na Madina akapatukuza kwa jina la Baladi alHarameen na kuita nyumba zake Masjid alHaram (Misikiti iliyoepushwa na maasi;maovu na uchafu wa kidunia) !!
Nataraji umejibiwa ..usijali Hadi uridhike..
Nakutakia heri
Uislam Ni nini!?
Nguzo kuu za uislam Ni zipi!?
Kwanini hamuamini katika Kristo?
Je unadhani kwamba utatu mtakatifu hauna ukweli ndani yake???
Mtume Muhammad Ni nani na alitumwa lini na Yuko wapi???

Natamani nifundishwe hii dini..
Niko interested kujifunza
 
Ya Juzi Mungu atanilipia tuu.
Wewe sahau ila mimi sijasahau, na nadhani unaelewa utunzaji wangu wa kumbukumbu upoje.
Jamani! Forgive and forget...

I am so sorry, and you know I mean it........
Am at work and big time assignments! Unapenda nichanganye haya ma-file ya watu.......

What do I have to do to be forgiven????!!!!!
 
Uislam Ni nini!?
Nguzo kuu za uislam Ni zipi!?
Kwanini hamuamini katika Kristo?
Je unadhani kwamba utatu mtakatifu hauna ukweli ndani yake???
Mtume Muhammad Ni nani na alitumwa lini na Yuko wapi???

Natamani nifundishwe hii dini..
Niko interested kujifunza
How are you kiddo???
 
Mkuu kulingana namjibu yako ningependa waislamu wengi zaidi waende hijja kadili Mungu atakavyowawezesha ili kuilewa zaidi dini yakiislam naamini hata mizozo/kashfa namengine mengi yatapungua kwaasilimia kubwa sana, Asante sana
Mkuu Relief Mirzska, sikujua kwamba umeandika inspiring story namna hii, anyway, nikipata muda nitakuja kuusoma!

Nirudi kwako flulanga, kwenda Hijja hakuwezi kusaidia hayo bali kuifahamu Quran (binafsi siifahamu) na teolojia kunaweza sana kuondoa hayo uliyosema!

Kuna tatizo la msingi kwa Waislamu! Watoto wengi wa Kiislamu huwa wanapata wasaa wa kwenda madrasa lakini miongoni mwao ni wachache tu wanaofanikiwa kumaliza na kupata elimu ya teolojia. Chukulia kwenda madrasa ni kama umeenda chuo kikuu kusoma Law! Leo hii ukienda chuo kikuu na kumaliza shahada yako ya sheria, bado unawezaa kupata taabu kuichambua katiba hadi upate elimu ya ziada kama vile constituional law.

Kwenye Uislamu, chukulia hiyo constituional law ndo kama teolojia yenyewe! Ukisoma teolojia hapo ndipo utakapofahamu Aya fulani ilishuka lini na kwa sababu zipi! Kwenye Quran kuna aya nyingi tu ambazo zilishuka kwa sababu maalumu! Kwa mfano, Surat Tawbah au Sura ya 9.

Sura hii ya 9 ilishuka wakati Mtume Muhammad na wafuasi wake wakiwa wanakumbana na adha ya kutisha kutoka kwa Wapagani wa Kiarabu! Walikuwa wakipigwa na wengine kuuawa! Wakati wote huu Muhamad na wafuasi wake wakawa hawana cha kufanya zaidi ya kumlilia Mwenyezi Mungu kwa yale madhira waliyokuwa wanakumbana nayo! Madhira ambayo yaliwafanya wautoroke hadi mji wa Makka na kukimbilia Madinna!

Baada ya mambo kuwa magumu zaidi, ndipo, according to Islam, Mwenyezi Mungu akashusha hiyo aya kumruhusu Mtume Muhammad na wafuasi wake kupigana endapo wataanza kupigwa!

Leo hii, hiyo ndiyo aya maarufu inayotumiwa na viongozi wa magaidi kuwa-brainwash watu kwa kuwaambia Quran imeruhusu kupigana na makafiri bila kuwaambia ukweli mazingira ambayo aya hiyo ilishushwa! Na kwavile wengi wetu hatuna elimu; unapokutana na mtu kama huyo kisha anakuonesha sura inayoelezea ni namna gani Mwislamu anatakiwa kupigana jihad, basi wale wenzangu mimi moja kwa moja wanaingia line "kwa sababu Quran imeruhusu kupigana" wakati Quran iruhusu kwa mazingira ambayo hata kati hali ya kawaida, ndivyo inavyotokea! Taifa lolote lile, liwe la Kiislamu, Kiikristo, Kiyahudi, Kibudha au hata la Kipagani likivamiwa, lazima lita-fight back! Hii fight back in the name of Allah ndio msingi wa hiyo Sura!

Lakini leo hii Al Shabaab wanaenda West Gate wanaua watu wasio na hatia (ambao hata kwenye hiyo sura inayoruhusu fighting back, na yenyewe imekataza kuua watu wasio na hatia na wanawake) kwa sababu wameaminishwa Quran imetoa ruhusa ya kupigana! Hapo ndipo unajiuliza "Nyie Al Shabaab Kenya wanawafanya mshindwe kufanya ibada zenu hadi mseme mnapigana kwa ajili ya Allah?" "Nyie ISIS Wamarekani walikuja kuwandoa misikitini na kuwapiga marufuku msiabudu imani yenu ndipo tuamini kwamba mnapigana kwa jina la Allah?!" Mtume Muhammad na wafuasi wake waliruhusiwa kupigana kwa sababu walikuwa wanazuiwa kufanya ibada zao na kutangaza neno la Mwenyezi Mungu; na ilikuwa ni kawaida kushambuliwa!!

So, haya yanayotokea ni matunda tu ya upotoshaji ama kwa makusudi au kwa kutojua! Nasema kwa kutojua kwa sababu sio Masheikh wote wana elimu ya teolojia, na in fact, ni wachache sana wenye nayo! Sasa Sheikh kama huyu nae anaweza kumpa mtu darasa la Sura ya 9 kama ilivyo bila kujua mazingira yaliyopelekea kushuka kwa sura husika! Na inakuwa rahisi sana watu kupotoshoka, kwa sababu wengi wetu, mtu akimaliza juzuu moja au mbili; au hata 10, tayari anaingia mtaani kukabiliana na harakati za maisha na elimu dunia na matokeo yake tunaacha madrasa tukiwa very shallow!
 
"Pale unapotangaza kugombea ubunge kwenye jimbo ambalo tayari lina mbunge.
Na mbaya zaidi unayemtangazia ndiye mmiliki (mbunge) mwenyewe wa jimbo hilo." Alisikika mtu mmoja akisema.

Wewe si ndiyo ulikuwa na ugomvi na mimi usioisha. That's karma!!
Dah! Nilisahau, kumbe tuna ugomvi vile! Basi nimeghairi hadi ugomvi wetu utakapoisha!
 
Jamani! Forgive and forget...

I am so sorry, and you know I mean it........
Am at work and big time assignments! Unapenda nichanganye haya ma-file ya watu.......

What do I have to do to be forgiven????!!!!!
What you've done, can be only forgiven not forgotten.
Unless you take back words you've said.

Usiharibu kazi jamani, tatizo lako unanikumbushia kumbushia what you tought me
 
Mkuu Relief Mirzska, sikujua kwamba umeandika inspiring story namna hii, anyway, nikipata muda nitakuja kuusoma!

Nirudi kwako flulanga, kwenda Hijja hakuwezi kusaidia hayo bali kuifahamu Quran (binafsi siifahamu) na teolojia kunaweza sana kuondoa hayo uliyosema!

Kuna tatizo la msingi kwa Waislamu! Watoto wengi wa Kiislamu huwa wanapata wasaa wa kwenda madrasa lakini miongoni mwao ni wachache tu wanaofanikiwa kumaliza na kupata elimu ya teolojia. Chukulia kwenda madrasa ni kama umeenda chuo kikuu kusoma Law! Leo hii ukienda chuo kikuu na kumaliza shahada yako ya sheria, bado unawezaa kupata taabu kuichambua katiba hadi upate elimu ya ziada kama vile constituional law.

Kwenye Uislamu, chukulia hiyo constituional law ndo kama teolojia yenyewe! Ukisoma teolojia hapo ndipo utakapofahamu Aya fulani ilishuka lini na kwa sababu zipi! Kwenye Quran kuna aya nyingi tu ambazo zilishuka kwa sababu maalumu! Kwa mfano, Surat Tawbah au Sura ya 9.

Sura hii ya 9 ilishuka wakati Mtume Muhammad na wafuasi wake wakiwa wanakumbana na adha ya kutisha kutoka kwa Wapagani wa Kiarabu! Walikuwa wakipigwa na wengine kuuawa! Wakati wote huu Muhamad na wafuasi wake wakawa hawana cha kufanya zaidi ya kumlilia Mwenyezi Mungu kwa yale madhira waliyokuwa wanakumbana nayo! Madhira ambayo yaliwafanya wautoroke hadi mji wa Makka na kukimbilia Madinna!

Baada ya mambo kuwa magumu zaidi, ndipo, according to Islam, Mwenyezi Mungu akashusha hiyo aya kumruhusu Mtume Muhammad na wafuasi wake kupigana endapo wataanza kupigwa!

Leo hii, hiyo ndiyo aya maarufu inayotumiwa na viongozi wa magaidi kuwa-brainwash watu kwa kuwaambia Quran imeruhusu kupigana na makafiri bila kuwaambia ukweli mazingira ambayo aya hiyo ilishushwa! Na kwavile wengi wetu hatuna elimu; unapokutana na mtu kama huyo kisha anakuonesha sura inayoelezea ni namna gani Mwislamu anatakiwa kupigana jihad, basi wale wenzangu mimi moja kwa moja wanaingia line "kwa sababu Quran imeruhusu kupigana" wakati Quran iruhusu kwa mazingira ambayo hata kati hali ya kawaida, ndivyo inavyotokea! Taifa lolote lile, liwe la Kiislamu, Kiikristo, Kiyahudi, Kibudha au hata la Kipagani likivamiwa, lazima lita-fight back! Hii fight back in the name of Allah ndio msingi wa hiyo Sura!

Lakini leo hii Al Shabaab wanaenda West Gate wanaua watu wasio na hatia (ambao hata kwenye hiyo sura inayoruhusu fighting back, na yenyewe imekataza kuua watu wasio na hatia na wanawake) kwa sababu wameaminishwa Quran imetoa ruhusa ya kupigana! Hapo ndipo unajiuliza "Nyie Al Shabaab Kenya wanawafanya mshindwe kufanya ibada zenu hadi mseme mnapigana kwa ajili ya Allah?" "Nyie ISIS Wamarekani walikuja kuwandoa misikitini na kuwapiga marufuku msiabudu imani yenu ndipo tuamini kwamba mnapigana kwa jina la Allah?!" Mtume Muhammad na wafuasi wake waliruhusiwa kupigana kwa sababu walikuwa wanazuiwa kufanya ibada zao na kutangaza neno la Mwenyezi Mungu; na ilikuwa ni kawaida kushambuliwa!!

So, haya yanayotokea ni matunda tu ya upotoshaji ama kwa makusudi au kwa kutojua! Nasema kwa kutojua kwa sababu sio Masheikh wote wana elimu ya teolojia, na in fact, ni wachache sana wenye nayo! Sasa Sheikh kama huyu nae anaweza kumpa mtu darasa la Sura ya 9 kama ilivyo bila kujua mazingira yaliyopelekea kushuka kwa sura husika!
Mzee nondo unazo si mchezo
 
Umejitaidi... ila haijanoga... Labda tuone uko mbele

Edited: Baada ya uzi wa Analyse kutrend na kugusa mioyo ya watu kutokana na changamoto za maisha alizopitia.. Naona sasa kila mtu anakuja na hadithi yake ya kutunga ili tu apate kiki (attention)


Kiukweli huu uzi hauna uhalisia, ata kama kuna cha kujifunza ila sio halisi
Ina maana uzi wa Analyse ndio wa kwanza kwako kuona watu wakielezea haya na yale yanayowahusu wao?! Au hiyo join date ya January 25, 2019 inawezekana ikawa ndio join yako ya kwanza kabisa JF?! Am curious kwa sababu wazoefu wa JF don't judge people by their join dates kwa sababu miongoni mwetu wapo wa tangia enzi hizo lakini ukisoma join date utakuta ya mwaka jana!!
 
Back
Top Bottom