magufulii???Na Dada yake Tundu lissu pia!!
Ndugu Magufuli anasema ni Marufuku vyama vya hovyo hovyo kufikiria kuitawala Tanzania! Aksante sana Ndugu Rais.
ni sista du mmoja hv alyekuwa analimendea jimbo la shinyanga mjini,kabla ya kushindwa ktk kura za maoni na mwenyekiti wa bavicha taifami simjui huyu inaonyesha ni mtu mdogo ktk siasa anawinda kick
awe maarufu
magufulii???
ndo nani huyu??
kiboko yao kivipi???Ni Kiboko ya Wazungusha Mikono na wafagia barabara, bila ya kuwasahau Team Mafuriko wanywa Viroba!
ametoka CDM akili mingi anarudi lumumba??ni sista du mmoja hv alyekuwa analimendea jimbo la shinyanga mjini,kabla ya kushindwa ktk kura za maoni na mwenyekiti wa bavicha taifa
yap,amerudi ktk kile chama cha wala wale wadudu wanaopatkana kuke dodomaametoka CDM akili mingi anarudi lumumba??
Victoire...Hatimae Rachel Mashishanga arudi CCM, kachoka kuwa kuwa ndani ya vyama vya upinzani. Jamani shitukeni CCM ndo chama cha kitaifa.
Mmemnyima viti maalum kaamua kuwaachiwa chama chenu ,
Ccm anaweza pata ata udc
always makapi hujichuja yenyewe ndani ya watu makiniyap,amerudi ktk kile chama cha wala wale wadudu wanaopatkana kuke dodoma